Hii tabia ya kulipa mishahara kwa mafungu ikomeshwe

Hii tabia ya kulipa mishahara kwa mafungu ikomeshwe

Zamani mishahara ilikuwa Siri Kubwa sana...walikuwa wanakatazwa kusema hadharani au technolojia imebadilika sio siri tena?....salary ikiingia napata stress ya ghafla,sometimes usingizi unakosa.
 
Back
Top Bottom