Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni uchafuzi wa mazingiraNimeona toka juzi watu wakitupa majani na kanga kwenye njia ambazo msafara wa msiba unapita, vyombo vya usalama wanaona kama ni mapenzi kwa Hayati.
Ni rahisi kuamini hivyo lakini tujiulize ingekuwa Somalia, Afriganistan au nchi zenye migogoro kisiasa na kidini unafikiri askari wangeruhusu ujinga huo?
Watasema watu Tanzania hatuna mambo hayo, hivi kuna ukaguzi gani unefanyika kwenye hayo majana na hizo kanga? Hatuna mabom labda vip kama kuna vitu vyenye ncha kali?
Tusiishi kwa mazoea, mazoea yana madhara sana. Wapo watakaodharau lakini ipo siku watajifunza kupitia uzi huu
Umeshakereka hata kwa hilo...Nimeona toka juzi watu wakitupa majani na kanga kwenye njia ambazo msafara wa msiba unapita, vyombo vya usalama wanaona kama ni mapenzi kwa Hayati.
Ni rahisi kuamini hivyo lakini tujiulize ingekuwa Somalia, Afriganistan au nchi zenye migogoro kisiasa na kidini unafikiri askari wangeruhusu ujinga huo?
Watasema watu Tanzania hatuna mambo hayo, hivi kuna ukaguzi gani unefanyika kwenye hayo majana na hizo kanga? Hatuna mabom labda vip kama kuna vitu vyenye ncha kali?
Tusiishi kwa mazoea, mazoea yana madhara sana. Wapo watakaodharau lakini ipo siku watajifunza kupitia uzi huu
Subiri tumalize kuombeleza mkuu. Tanzania hatuna chuki za namna hiyoNimeona toka juzi watu wakitupa majani na kanga kwenye njia ambazo msafara wa msiba unapita, vyombo vya usalama wanaona kama ni mapenzi kwa Hayati.
Ni rahisi kuamini hivyo lakini tujiulize ingekuwa Somalia, Afriganistan au nchi zenye migogoro kisiasa na kidini unafikiri askari wangeruhusu ujinga huo?
Watasema watu Tanzania hatuna mambo hayo, hivi kuna ukaguzi gani unefanyika kwenye hayo majana na hizo kanga? Hatuna mabom labda vip kama kuna vitu vyenye ncha kali?
Tusiishi kwa mazoea, mazoea yana madhara sana. Wapo watakaodharau lakini ipo siku watajifunza kupitia uzi huu
Haya buana karibu ule lunch huku unatizama msafaraPole mkuu...dunia ya sasa kuna vilipuzi vinawekwa hadi kwenye bahasha!! Sa bahasha na kanga ipi kubwa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenifanya nicheke yaniKhanga zenyewe za ccm,ndo mabomu yanate.!??
😂😂😂 acha tucheke tuu,watu wanadhani tupo alqaeda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenifanya nicheke yani
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Eti jamani watu wenyewe pale wapo na njaa tu hata mia hawana wakafikirie kulipuana duu[emoji23][emoji23][emoji23] acha tucheke tuu,watu wanadhani tupo alqaeda
jeshi letu liwe makini wasije wakamdhuru marehemuNimeona toka juzi watu wakitupa majani na kanga kwenye njia ambazo msafara wa msiba unapita, vyombo vya usalama wanaona kama ni mapenzi kwa Hayati.
Ni rahisi kuamini hivyo lakini tujiulize ingekuwa Somalia, Afriganistan au nchi zenye migogoro kisiasa na kidini unafikiri askari wangeruhusu ujinga huo?
Watasema watu Tanzania hatuna mambo hayo, hivi kuna ukaguzi gani unefanyika kwenye hayo majana na hizo kanga? Hatuna mabom labda vip kama kuna vitu vyenye ncha kali?
Tusiishi kwa mazoea, mazoea yana madhara sana. Wapo watakaodharau lakini ipo siku watajifunza kupitia uzi huu
Kwani kuna mtu anataka kumuua marehemu mara ya pili??Nimeona toka juzi watu wakitupa majani na kanga kwenye njia ambazo msafara wa msiba unapita, vyombo vya usalama wanaona kama ni mapenzi kwa Hayati.
Ni rahisi kuamini hivyo lakini tujiulize ingekuwa Somalia, Afriganistan au nchi zenye migogoro kisiasa na kidini unafikiri askari wangeruhusu ujinga huo?
Watasema watu Tanzania hatuna mambo hayo, hivi kuna ukaguzi gani unefanyika kwenye hayo majana na hizo kanga? Hatuna mabom labda vip kama kuna vitu vyenye ncha kali?
Tusiishi kwa mazoea, mazoea yana madhara sana. Wapo watakaodharau lakini ipo siku watajifunza kupitia uzi huu
[emoji38][emoji38][emoji38]daaKhanga zenyewe za ccm,ndo mabomu yanate.!??
Kwa kweli umeongea kwa uchungu sana dahDuu unawaza mbali kweli jamani, majani yenyewe yana uwingi gani, hao raia wanaojililia ukawapige bomu si kujisafutia dhambi isiyo na faida
Hii point ya muhimu sana mkuu na ninakuunga mkono. Adui wa kwanza wa mwanadamu ni akili yake yeye mwenyewe ndio maana niliomba serikali kupitia humu JF kupiga marufuku wimbo wa bongo bahati mbaya.Watanzania wamekwisha ongozwa mioyoni na akilini... Hiyo inatosha
Kwakweli.Hii sasa ni NONGWA.