Hii tabia ya usagaji miaka hii imeanza kuwakumba wadada wengi

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Habarini,

Kwenye jamii imezoeleka kuwa mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume sahivi ni janga kubwa, miaka ya sasa changamoto kubwa ya kimalezi inakuwa ya wazazi kumchunga sana mtoto wa kiume kuliko wa kike.

Ila kuna ishu ambayo haisemwi sana ya usagaji (wadada kushiriki ngono wenyewe kwa wenyewe) nafikiri hii tabia ni kubwa kuliko inavyofikiriwa, na ni ngumu watu kushtukia viashiria

Ukiachana na skendo ya juzi ya usagaji ya mwimbaji wa nyimbo wa injili, kuna page nliingia fb nikaona baadhi ya wadada wanakiri kuwa wanafuatwa inbox kwenye mitandao ya Facebook na Instagram kutongozwa kimapenzi na wanawake wenzao.

Nimeshangaa kweli, mm mwanaume tangu nizaliwe sijawahi fatwa inbox kutongozwa na mwanamke, ila wadada mtandaoni wanatongozwa na wadada wenzao, wadada wengine utaona wanapost whatsapp status wanatoana out kwenye expensive dates (as if wanaume wa kutoka nao out hawapo), wanakodi chumba hotelini na wanaenda vacation pamoja unadhani ni ma bff kweli, kumbe utakuta most of the times wanasagana, ni nguvu gani iliopo kwenye hii tabia wajameni 😶
 
Inatisha, INASIKITISHA, kuiga tu wala siyo tabia yao!
Ila tukubali, kama ushoga, hii tabia ipo toka enzi na enzi na enzi.
Hata kwetu afrika!
 
Kwa mtazamo wangu;

Ni kama vile watu hawachukizwi na usagaji kwasababu wengi wanasema hauna madhara

Sasa kwa style hii naona utashamiri kuliko hata ushoga wa me kwa me

Haya mambo ya ngono ni marahisi ukiyaangalia kwa juu juu ila yana siri kibao, nadhani tunayofundishwa shule na kanisani ni machache kati ya mengi.
 
Wanalipwa, wenzako wako kazini
 
Kati ya kutombw* na kusagwa, the best sex kwa mwnamke ni kusagwa.

Mwanamke ukimtomb* na akisagwa anakojoa zaidi akisagwa. Kusagwa kuna involve a lot of foreplay na it takes longer time na kuna mchezo wao unaitwa scissoring, unawavuriga sana mademu

Ndio maana wanaume wanaiga vitendo vya kisagaji ili kumridhisha mwanamke, kama vile kunyonya ass ya mwanamke, pussy, rimjob, ..nk.

Mwanamke wako akisagana atakuacha. Kuna msagaji mtaani huku akimpata demu wako ujue ushampoteza. Unajua why?
 
Wasagaji wengi ni sababu ya njaa tu. Wanafanya kwa influenxe ya pesa.

Akitoka huko anakuja unamkamua vizuri tu
 
Pole kwa kuumizwa dada, ila siamini kuwa kuumizwa kunamfanya mtu kuwa msagaji🙂
Labda unapenda tu
 
Hili neno "wanaume kuwaumiza wanawake" mnalipenda sana kulitumia ila ukitazama kwa undani unagundua halina uhusiano wa moja kwa moja na wanawake kusaliti au kuingia katika usagaji.

Ingekuwa ni sababu hebu nipe connection ya kisaikolojia iliyopo kati ya kitendo cha mwanaume kufanya kitendo au vitendo vya kumuumiza mwanamke na yeye kuacha kuchua hatua zingine zoote hadi kuchagua kupata mwanaume mwingine au kuanza kuruka na wanawake wenzake.

Me nadhani historia ya makuzi ya mwanamke huwa ndio sababu sio mwanaume kumkosea mwanamke. Mbona mama zetu kipindi chao hawakuwa hata wakithubutu kutoka nje ya ndoa hata wakifanyiwa matukio gani?

Kuna tabia kama kutazama sana pornography,kuwa katika company ya wasichana wanaopractice hizo tabia,kushawishiwa etc.
 
Wanaume tuna mapungufu mengi mno, ila kwa hili acha tujitetee sasa kwa mfano wewe kuamua kuwa msagaji, mwanaume anahusikaje hata kama alikuumiza, kama si uhuni wako binafsi ulikuwa ukiutamani hapo kabla, ila umepata upenyo wa kujihalalishia. Sister Abigail
 
Sasa unashangaa nini jamani, mbona kawaida na kila mtu na starehe yake usiwapangie watu kitu cha kufanya, waache wafurahie wakichoka wataacha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…