SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
SwadaktaaTatizo ni hao Polisi kubishana na wanasiasa, sio kazi ya polisi kubishana na wanasiasa. Huo ni utovu wa nidhamu wa Polisi. Polisi kazi yao ni kulinda usalama wa wanasiasa na kupokea amri (kufokewa) halali kutoka kwa wanasiasa.
Duniani kote polisi ni kama mbw.! anayesubiri kupokea amri.
Akikusikia Halima Mdee atakucheka meku!Nasema we ni mpumbavu
Yaani wewe kila utakacho ambiwa na polisi hata kama hujavunja sheria unakubali duu!Ni vema wanasiasa wakapewa elimu ya kutii sheria bila shuruti kwa sababu mabishano kati ya polisi na wanasiasa sasa yameanza kuzoeleka na hilo si jambo jema.
Huko nyuma tumewahi kuwaona akina Adam Malima, Dkt. Kigwangalla, Nape, Sugu, Lissu, Mdee na Bulaya na sasa ni kiongozi mkuu wa upinzani Mbowe.
Kama taifa nadhani kura mahali tunakosea, Tujirekebishe!
Maendeleo hayana vyama.
Ila tabia ya Polisi kuwaonea wananchi iachwe iote mizizi? Ukiona hivyo ujue kuna mahali polisi wanakosea. Matamshi ya mpuuzi wa Hai umeyasikia?Ni vema wanasiasa wakapewa elimu ya kutii sheria bila shuruti kwa sababu mabishano kati ya polisi na wanasiasa sasa yameanza kuzoeleka na hilo si jambo jema.
Huko nyuma tumewahi kuwaona akina Adam Malima, Dkt. Kigwangalla, Nape, Sugu, Lissu, Mdee na Bulaya na sasa ni kiongozi mkuu wa upinzani Mbowe.
Kama taifa nadhani kura mahali tunakosea, Tujirekebishe!
Maendeleo hayana vyama.
johnthebaptist akili umeziweka wapi?Ni vema wanasiasa wakapewa elimu ya kutii sheria bila shuruti kwa sababu mabishano kati ya polisi na wanasiasa sasa yameanza kuzoeleka na hilo si jambo jema.
Huko nyuma tumewahi kuwaona akina Adam Malima, Dkt. Kigwangalla, Nape, Sugu, Lissu, Mdee na Bulaya na sasa ni kiongozi mkuu wa upinzani Mbowe.
Kama taifa nadhani kura mahali tunakosea, Tujirekebishe!
Maendeleo hayana vyama.
Polisi watambue mipaka yao ya kaziNi vema wanasiasa wakapewa elimu ya kutii sheria bila shuruti kwa sababu mabishano kati ya polisi na wanasiasa sasa yameanza kuzoeleka na hilo si jambo jema.
Huko nyuma tumewahi kuwaona akina Adam Malima, Dkt. Kigwangalla, Nape, Sugu, Lissu, Mdee na Bulaya na sasa ni kiongozi mkuu wa upinzani Mbowe.
Kama taifa nadhani kura mahali tunakosea, Tujirekebishe!
Maendeleo hayana vyama.
Bwashee niko hapa jimboni kwa Mnyika tunaweka jiwe la msingi stendi mpya lakini makamanda hamuonekani kabisa!johnthebaptist akili umeziweka wapi?
Hahahaaaa..... tupo hapa na TAL tunatafakari leo kiki wapi!Hivi wapumbavu kama huyu mleta mada nani alimfundisha kuingia jamiiforums? 🤔
Huyo hapoKule Shinyanga mkuu wa kituo katoka na bango la Magufuli huko akaenda nalo hadi nyumbani kwa Salome Makamba kisha akalichana halafu akamkamata Salome Makamba kwa kosa la kuchana bango la Magufuli. Ila kwa kuwa amefanya tukio hilo majira ya saa nne za usiku na wala hakuona watu waliokuwa wanamrekodi basi naamini alikuwa amebugia gongo. Sasa hao ndiyo polisi unaotaka waheshimiwe?