johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ni vema wanasiasa wakapewa elimu ya kutii Sheria bila Shuruti kwa sababu mabishano kati ya Polisi na wanasiasa sasa yameanza kuzoeleka na hilo si jambo jema.
Huko nyuma tumewahi kuwaona akina Adam Malima, Dkt. Kigwangalla, Nape, Sugu, Lissu, Mdee na Bulaya na sasa ni kiongozi mkuu wa upinzani Mbowe.
Kama Taifa nadhani kura mahali tunakosea, Tujirekebishe!
Maendeleo hayana vyama.
Huko nyuma tumewahi kuwaona akina Adam Malima, Dkt. Kigwangalla, Nape, Sugu, Lissu, Mdee na Bulaya na sasa ni kiongozi mkuu wa upinzani Mbowe.
Kama Taifa nadhani kura mahali tunakosea, Tujirekebishe!
Maendeleo hayana vyama.