Hii tafsiri ya cheti cha ndoa, ikusaidie kujitafakari sana kabla hujakisaini

Hii tafsiri ya cheti cha ndoa, ikusaidie kujitafakari sana kabla hujakisaini

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Ndoa kiroho ni agano.
Unaposaini cheti cha ndoa au unapoingia agano hilo kwa makubaliano mengine yoyote unatakiwa ujue unachokiingia.

Siku hiyo unasaini hati ya

Kufanikiwa kwako au kufeli kwako maishani

Furaha yako au huzuni yako hadi unaingia kabrini.

Maisha ya migogoro au amani

Nini ufanye.
Fanya utafiti wa kutosha kusidio na mwenzako kuingia katika hiyo ndoa ni hicho unachofikiri wewe ay anaajenda tofauti?

Kubali matokeo ya agano uliloingia kwa kupuuza taadhari ulizoziona kabla ya siku ya kusaidi hati ya agano.

Siandiki hili kukutisha. Ninaandika kukusaidia kuchagua kwa umakini ni nani unayeamua kuingia naye mkataba wa maisha bila kushawishiwa na mtu yoyote.

Ni hayo tu.
 
🤣🤣ni kama mkataba alioingia Bibi titi siyo?🤣🤣chief mangungo wa msovero reincarnated 🙏
 
Ndoa kiroho ni agano.
Unaposaini cheti cha ndoa au unapoingia agano hilo kwa makubaliano mengine yoyote unatakiwa ujue unachokiingia.

Siku hiyo unasaini hati ya

Kufanikiwa kwako au kufeli kwako maishani

Furaha yako au huzuni yako hadi unaingia kabrini.

Maisha ya migogoro au amani

Nini ufanye.
Fanya utafiti wa kutosha kusidio na mwenzako kuingia katika hiyo ndoa ni hicho unachofikiri wewe ay anaajenda tofauti?

Kubali matokeo ya agano uliloingia kwa kupuuza taadhari ulizoziona kabla ya siku ya kusaidi hati ya agano.

Siandiki hili kukutisha. Ninaandika kukusaidia kuchagua kwa umakini ni nani unayeamua kuingia naye mkataba wa maisha bila kushawishiwa na mtu yoyote.

Ni hayo tu.
kwanza tumekatazwa kuapa, hivyo ndoa yenyewe ni kinyume cha maagizo ya Mungu
laana zinaanziaga hapo
 
Natamani watu wangeelewa mtoa mada anachomaanisha KIROHO na AGANO

Hivi vitu viwili vinaweza kukutesa sana usipovielewa
 
Back
Top Bottom