Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetoa wapi Hio picha? Mbona haihusiani na mechi ya Leo?Although nawatakia ushindani wenye tija kwa taifa.
Daah mechi imeisha vijana wamecheza vizuri...tukiwafunga na hapa wakija na wale Niger wakipotea hapo Taifa tutakua na point 10 ambazo tunaweza kufuzu..Naichungulia timu ya Taifa inayokipiga muda huu, siwaoni wachezaji wa timu unayosema ni bora humo, lakini naona kuna mchezaji wa kizungu huyu au ni macho yangu mabovu!.
View attachment 2564061
☝🏾Picha zingekuwa zinafunga magori nadhani Uganda ingeona cha mtema kuni.
😂😂😂😂😂😂🙌Umetoa wapi Hio picha? Mbona haihusiani na mechi ya Leo?
Kuwa mzungu ni dhambi?Naichungulia timu ya Taifa inayokipiga muda huu, siwaoni wachezaji wa timu unayosema ni bora humo, lakini naona kuna mchezaji wa kizungu huyu au ni macho yangu mabovu!.
View attachment 2564061
☝🏾Picha zingekuwa zinafunga magori nadhani Uganda ingeona cha mtema kuni.
Huyo mzungu ni mdogo wa GENTAMYCINENaichungulia timu ya Taifa inayokipiga muda huu, siwaoni wachezaji wa timu unayosema ni bora humo, lakini naona kuna mchezaji wa kizungu huyu au ni macho yangu mabovu!.
View attachment 2564061
☝🏾Picha zingekuwa zinafunga magori nadhani Uganda ingeona cha mtema kuni.
Cha zamani hicho.Hicho kikosi sio kilichopo uwanjani