Hii video haina Maadili, Huwezi kupiga picha na Rais ili umringishie ex wako

Hii video haina Maadili, Huwezi kupiga picha na Rais ili umringishie ex wako

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Sijajua kilitokea nini Hadi wahusika wakakubali kitu cha ajabu namna hii kikatokea. Hili lililotokea halikua sehemu ya uchekeshaji.... Huwezi kuomba kupiga picha na Rais WA Nchi (Mwanamke) eti ili umkomoe Ex wako. This is bulshit na Kwa kweli tuzuie huu ujinga usiendelee.

 
Mnajua maana ya Comedy na alikuwa sehemu gani ? Mkutano wa Kupanga mambo ya Taifa kama Rais au Mualikwa wa kwenye vichekesho ?

Ingawa sijaangalia video ila nimeona issue ni comedy kwahio najua kila kinachoendelea humo ni comedic..., Issue mnamchukulia Rais kama Mtawala au Mtakatifu fulani kumbe ni binadamu wa kawaida tu.... I had rather Rais ambaye ni down to earth na hana maadili kwa macho yenu wengi lakini haleti utani na mali ya UMMA, than vice versa...

Hivyo namlaumu Samia for the latter....
 
Mnajua maana ya Comedy na alikuwa sehemu gani ? Mkutano wa Kupanga mambo ya Taifa kama Rais au Mualikwa wa kwenye vichekesho ?

Ingawa sijaangalia video ila nimeona issue ni comedy kwahio najua kila kinachoendelea humo ni comedic..., Issue mnamchukulia Rais kama Mtawala au Mtakatifu fulani kumbe ni binadamu wa kawaida tu....
Kumbe hujaangalia video Halafu unachangia? Poor you
 
Back
Top Bottom