Hii video haina Maadili, Huwezi kupiga picha na Rais ili umringishie ex wako

Hii video haina Maadili, Huwezi kupiga picha na Rais ili umringishie ex wako

Ni jambo sahihi kwa wakati ule , ile ni comedy acha makasiriko, sio kila jambo ni kupinga tu.
 
Msitumie hisia kwenye kufanya maamuzi ya mbinu zipi mzitumie kupata kura.
Fanyeni utafiti kisha itawasaidia kufanya informed decision.
Mkuu kuna vitu vinashangaza sana hebu fikiri eti mtu anakuja na kislogan " Ahh bimkubwa" mara "bi mkubwa hatukudai " hapo inashauriwa na kukubalika eti ni strategy ya kumtafutia rais kura na wapo strategist na advisors wanalipwa kwa kodi za wananchi kufanya kazi hizo kwa uweledi , serious kabisa hii strategy hao watu wanaikubali ?

Watu wanapewa fungu kubwa la kodi za wananchi kutunga vitu vya kipuuzi na rais anakenua tu meno?
 
..halafu ikifika wakati wa Uchaguzi DOLA inaingia kazini.

..tafiti unazosema kuwa zinafanyika ni fursa tu za watu kupiga pesa za CCM.

..mabango, matangazo, wasanii, kushiriki kampeni nayo ni fursa.

..wanaotumainiwa kuwapa CCM ushindi na vyombo vya DOLA.
Hivi kwanini upinzani wasitumie hizi mbinu ili mradi waiondoe CCM?
Wala siyo dhambi siyo rushwa, wajichanganye na jamii kubwa isiyo na elimu au uelewa. Washiriki kujihusisha kwenye vichekesho, muziki, filamu, michezo(hasa soka) na vitu kama hivyo.
Kisha wapenyeze agenda zao za mabadiliko na kukamata dola. Mbona TANU walifanya hivi kwa mkoloni kupitia club za soka?
 
Hivi kwanini upinzani wasitumie hizi mbinu ili mradi waiondoe CCM?
Wala siyo dhambi siyo rushwa, wajichanganye na jamii kubwa isiyo na elimu au uelewa. Washiriki kujihusisha kwenye vichekesho, muziki, filamu, michezo(hasa soka) na vitu kama hivyo.
Kisha wapenyeze agenda zao za mabadiliko na kukamata dola. Mbona TANU walifanya hivi kwa mkoloni kupitia club za soka?

..unataka wapinzani nao watumie bunduki kama CCM?

..watazitoa wapi? hiyo itakuwa nchi ya aina gani?

..kinachotakiwa ni kuweko kwa mifumo inayotoa HAKI SAWA ktk uwanja wa siasa.
 
Msitumie hisia kwenye kufanya maamuzi ya mbinu zipi mzitumie kupata kura.
Fanyeni utafiti kisha itawasaidia kufanya informed decision.
Mimi ni staunch supporter wa mama

Apunguze kuwa karibia hawa madalali…. They’re ere influential zamani, Kwa sasa hawana hoyo power she’s trying to engage

Power imerudi kwenye class husika
 
Hivi kwanini upinzani wasitumie hizi mbinu ili mradi waiondoe CCM?
Wala siyo dhambi siyo rushwa, wajichanganye na jamii kubwa isiyo na elimu au uelewa. Washiriki kujihusisha kwenye vichekesho, muziki, filamu, michezo(hasa soka) na vitu kama hivyo.
Kisha wapenyeze agenda zao za mabadiliko na kukamata dola. Mbona TANU walifanya hivi kwa mkoloni kupitia club za soka?

..Ohh!

..unazungumzia wakati wa Tanu na Wakoloni?

..Waingereza walikuwa wastaarabu kuliko CCM.

..kwanza ukifuatilia historia hutaona popote viongozi na wanaharakati wa Tanu wameshambuliwa, kuumizwa, au kutekwa na Waingereza.

..pili Waingereza hawakuengua wagombea wa Tanu, au kujaribu kuvuruga uchaguzi ambao waliusimamia.

..tatu Waingereza walituandalia uchaguzi ulioruhusu wagombea binafsi, CCM imekuja kuwapiga marufuku.

..Waingereza walikuwa na mabaya mengi, lakini inapokuja kwenye masuala ya siasa na usimamizi wake walikuwa bora kuliko CCM.
 
Mimi ni staunch supporter wa mama

Apunguze kuwa karibia hawa madalali…. They’re ere influential zamani, Kwa sasa hawana hoyo power she’s trying to engage

Power imerudi kwenye class husika
Inawezekana upo sahihi.
 
..Ohh!

..unazungumzia wakati wa Tanu na Wakoloni?

..Waingereza walikuwa wastaarabu kuliko CCM.

..kwanza ukifuatilia historia hutaona popote viongozi na wanaharakati wa Tanu wameshambuliwa, kuumizwa, au kutekwa na Waingereza.

..pili Waingereza hawakuengua wagombea wa Tanu, au kujaribu kuvuruga uchaguzi ambao waliusimamia.

..tatu Waingereza walituandalia uchaguzi ulioruhusu wagombea binafsi, CCM imekuja kuwapiga marufuku.

..Waingereza walikuwa na mabaya mengi, lakini inapokuja kwenye masuala ya siasa na usimamizi wake walikuwa bora kuliko CCM.
Hao wagombea binafsi tuna wahitaji Sana kwa sasa.
Wanaruhusiwa kikatiba lakini wenye dhamana wana waogopa kuliko saratani.
 
..Ohh!

..unazungumzia wakati wa Tanu na Wakoloni?

..Waingereza walikuwa wastaarabu kuliko CCM.

..kwanza ukifuatilia historia hutaona popote viongozi na wanaharakati wa Tanu wameshambuliwa, kuumizwa, au kutekwa na Waingereza.

..pili Waingereza hawakuengua wagombea wa Tanu, au kujaribu kuvuruga uchaguzi ambao waliusimamia.

..tatu Waingereza walituandalia uchaguzi ulioruhusu wagombea binafsi, CCM imekuja kuwapiga marufuku.

..Waingereza walikuwa na mabaya mengi, lakini inapokuja kwenye masuala ya siasa na usimamizi wake walikuwa bora kuliko CCM.
Here comes a slave

With his proud accent and a sorry ass attitude

Wazee imefika wakati sasa tupishe hii dunia wabaki watoto wetu

Matunda yote mabaya ya hizi new generations ni wazee Kama mimi na wewe tu

What a bull crap
 
Sijajua kilitokea nini Hadi wahusika wakakubali kitu cha ajabu namna hii kikatokea. Hili lililotokea halikua sehemu ya uchekeshaji.... Huwezi kuomba kupiga picha na Rais WA Nchi (Mwanamke) eti ili umkomoe Ex wako. This is bulshit na Kwa kweli tuzuie huu ujinga usiendelee.

View attachment 3246880

Ndiyo sehemu ya Uchekeshaji wenyewe hiyo.
 
Here comes a slave

With his proud accent and a sorry ass attitude

Wazee imefika wakati sasa tupishe hii dunia wabaki watoto wetu

Matunda yote mabaya ya hizi new generations ni wazee Kama mimi na wewe tu

What a bull crap

..wewe ndio una sorry attitude.

..nimeeleza facts wewe unakuja kunitukana.

..Uchaguzi uliosimamiwa na Wakoloni ulikuwa wa haki kuliko chaguzi zilizosimamiwa na CCM.

..Wakoloni hawakuengua wagombea wa Tanu, wakati CCM imekuwa ikiengua maelfu ya wagombea wa upinzani.

..kama una facts za kupinga hoja yangu nakukaribisha kufanya hivyo.
 
Back
Top Bottom