Hii video haina Maadili, Huwezi kupiga picha na Rais ili umringishie ex wako

Hii video haina Maadili, Huwezi kupiga picha na Rais ili umringishie ex wako

Tukio linasadifu maudhui ya mchekeshaji . Hiyo comedy na huyo comedian anaposema ex wake alimkomoa haishi Bali anamaanisha ucheshi...Acheni kufunga ndimu
 
Sijajua kilitokea nini Hadi wahusika wakakubali kitu cha ajabu namna hii kikatokea. Hili lililotokea halikua sehemu ya uchekeshaji.... Huwezi kuomba kupiga picha na Rais WA Nchi (Mwanamke) eti ili umkomoe Ex wako. This is bulshit na Kwa kweli tuzuie huu ujinga usiendelee.

View attachment 3246880
Hiyo ni comedy show, sasa ulitegemea Rais hasitaniwe ndugu ?!

Cha msingi hapo Rais kuepuka mialiko ya aina hiyo,kwasababu vijana wengi wahusika/comedian ni watoto wa mtaani, kwahyo hata uwezo wao wakutafsiri issue ya protokali ni mdogo sana.
 
Sijajua kilitokea nini Hadi wahusika wakakubali kitu cha ajabu namna hii kikatokea. Hili lililotokea halikua sehemu ya uchekeshaji.... Huwezi kuomba kupiga picha na Rais WA Nchi (Mwanamke) eti ili umkomoe Ex wako. This is bulshit na Kwa kweli tuzuie huu ujinga usiendelee.

View attachment 3246880

Wala haina shida, we sometimes entertain Children! Huyo Dogo ni mtoto, Kuna shida gani kumpa anachotaka? Inamdhuru nani?
 
Mnajua maana ya Comedy na alikuwa sehemu gani ? Mkutano wa Kupanga mambo ya Taifa kama Rais au Mualikwa wa kwenye vichekesho ?

Ingawa sijaangalia video ila nimeona issue ni comedy kwahio najua kila kinachoendelea humo ni comedic..., Issue mnamchukulia Rais kama Mtawala au Mtakatifu fulani kumbe ni binadamu wa kawaida tu.... I had rather Rais ambaye ni down to earth na hana maadili kwa macho yenu wengi lakini haleti utani na mali ya UMMA, than vice versa...

Hivyo namlaumu Samia for the latter....
Na ungana na wewe mkuu pale lilikua jukwaa la comedy Mbona inaeleweka..

NB.
Binadamu bwana UNAWEZA kuwa unaogelea wenzako wakakwambia unawatimulia vumbi.
 
Sijajua kilitokea nini Hadi wahusika wakakubali kitu cha ajabu namna hii kikatokea. Hili lililotokea halikua sehemu ya uchekeshaji.... Huwezi kuomba kupiga picha na Rais WA Nchi (Mwanamke) eti ili umkomoe Ex wako. This is bulshit na Kwa kweli tuzuie huu ujinga usiendelee.

View attachment 3246880
Mama anaubonda mwingi hadi unamiminika
 
Nikuulize tu kwa mfano , live stream ya hilo tukio kwenye social media lilifikia watu wangapi?
Mkuu hilo tukio lilirushwa na TV za bure.
Sasa TV zipo hadi vijijini, pia comedy video clips sasa zimejaa kwenye simu za vitochi huwezi amini.
Nakuwa vijijini muda mrefu nawaona wazee vijana na watoto waume kwa wake wana vichekesho kwenye simu.
Ndiyo starehe yao.
Nina uhakika baada ya juma moja utamuona Samia kwenye simu vitochi kila kona.
Acheni hizo fikra za watu wengi wa mjini na wanaojihisi wasomi. Ni utopian thinking alizosema Pascal Mayalla kwenye thread yake leo. Mnafikiri mnavyo waza ninyi ndivyo wote wanawaza hivyo. Huko vijijini kuna mabadiliko sana ya matumizi ya teknolojia.
Huko hawawezi kupakua(download) hotuba za kisiasa za no reforms no election. Wanataka vitu vidogo vidogo vya kuwafurahisha na kuburudisha Kama vichekesho na nyimbo za bongo Flava.
Wabunifu watumie humo humo kufikisha ujumbe au kupenyeza agenda zao.

Utayajua haya ukiwekeza kwenye tafiti rasmi siyo hisia. Kuna tools zote Sasa hivi kukusanya taarifa sahihi. Fanyeni analysis kutumia tools za Business Intelligence.
Nina uhakika CCM wame consult watu wakashauriwa kutumia hizo platform. Social media, social events, e.t.c.

Note: Mimi siyo mwanasiasa, si mwajiriwa wa serikali, I was just stating the obvious.
 
Mkuu hilo tukio lilirushwa na TV za bure.
Sasa TV zipo hadi vijijini, pia comedy video clips sasa zimejaa kwenye simu za vitochi huwezi amini.
Nakuwa vijijini muda mrefu nawaona wazee vijana na watoto waume kwa wake wana vichekesho kwenye simu.
Ndiyo starehe yao.
Nina uhakika baada ya juma moja utamuona Samia kwenye simu vitochi kila kona.
Acheni hizo fikra za watu wengi wa mjini na wanaojihisi wasomi. Ni utopian thinking alizosema Pascal Mayalla kwenye three yake leo. Mnafikiri mnavyo waza ninyi ndivyo wote wanawaza hivyo. Huko vijijini kuna mabadiliko sana ya matumizi ya teknolojia.
Huko hawawezi kupakua(download) hotuba za kisiasa za no reforms no election. Wanataka vitu vidogo vidogo vya kuwafurahisha na kuburudisha Kama vichekesho na nyimbo za bongo Flava.
Wabunifu watumie humo humo kufikisha ujumbe au kupenyeza agenda zao.

Utayajua haya ukiwekeza kwenye tafiti rasmi siyo hisia. Kuna tools zote Sasa hivi kukusanya taarifa sahihi. Fanyeni analysis kutumia tools za Business Intelligence.
Nina uhakika CCM wame consult watu wakashauriwa kutumia hizo platform. Social media, social events, e.t.c.

Note: Mimi siyo mwanasiasa, si mwajiriwa wa serikali, I was just stating the obvious.
CC: Pascal Mayalla
 
Kama na wewe ni mshauri wa Samia basi nyie ndio mnaompotosha.

Na kuzidi kumfanyia downgrade, kuna vitu vya kusema atateka nyoyo za watu kumbe hao anaoenda kuwateka ni watu alionao kila siku.

Nikuulize tu kwa mfano , live stream ya hilo tukio kwenye social media lilifikia watu wangapi?

Kuna vitu mnatakiwa kumshauri afanye akubalike sio hiyo scheme ya kuchota pesa za umma kustage PR stunts eti mnateka nyoyo za watu.

Hebu cheki kile kituko cha Masanja anaitwa mtalii wa ndani anaenda Tanga na pikipiki hivi kweli leo hii mtu gani alimjua Masanja kama mtalii wa ndani ,wale aliokutana nao wamelipwa naye kalipwa ajabu wameua mji wa viwanda kama Tanga halafu Masanja anazunguka na pikipiki kila sentensi ni Samia badala ya kuelezea hata vitu vilivyopo Tanga kwa uhalisia.

Huyo mama mnampoteza na kiufupi hauziki kwa sasa na watu washashtuka 99% ya wanaompamba wote wana namna ya kunufaika kifedha na kwenye biashara zao.
Msitumie hisia kwenye kufanya maamuzi ya mbinu zipi mzitumie kupata kura.
Fanyeni utafiti kisha itawasaidia kufanya informed decision.
 
Msitumie hisia kwenye kufanya maamuzi ya mbinu zipi mzitumie kupata kura.
Fanyeni utafiti kisha itawasaidia kufanya informed decision.
Narudia tena kama na wewe ni mshauri kwenye jopo la huyo mama basi mnastahili adhabu na kifungo jela kwa matumizi mabaya ya ofisi.
 
Mkuu hilo tukio lilirushwa na TV za bure.
Sasa TV zipo hadi vijijini, pia comedy video clips sasa zimejaa kwenye simu za vitochi huwezi amini.
Nakuwa vijijini muda mrefu nawaona wazee vijana na watoto waume kwa wake wana vichekesho kwenye simu.
Ndiyo starehe yao.
Nina uhakika baada ya juma moja utamuona Samia kwenye simu vitochi kila kona.
Acheni hizo fikra za watu wengi wa mjini na wanaojihisi wasomi. Ni utopian thinking alizosema Pascal Mayalla kwenye thread yake leo. Mnafikiri mnavyo waza ninyi ndivyo wote wanawaza hivyo. Huko vijijini kuna mabadiliko sana ya matumizi ya teknolojia.
Huko hawawezi kupakua(download) hotuba za kisiasa za no reforms no election. Wanataka vitu vidogo vidogo vya kuwafurahisha na kuburudisha Kama vichekesho na nyimbo za bongo Flava.
Wabunifu watumie humo humo kufikisha ujumbe au kupenyeza agenda zao.

Utayajua haya ukiwekeza kwenye tafiti rasmi siyo hisia. Kuna tools zote Sasa hivi kukusanya taarifa sahihi. Fanyeni analysis kutumia tools za Business Intelligence.
Nina uhakika CCM wame consult watu wakashauriwa kutumia hizo platform. Social media, social events, e.t.c.

Note: Mimi siyo mwanasiasa, si mwajiriwa wa serikali, I was just stating the obvious.


..halafu ikifika wakati wa Uchaguzi DOLA inaingia kazini.

..tafiti unazosema kuwa zinafanyika ni fursa tu za watu kupiga pesa za CCM.

..mabango, matangazo, wasanii, kushiriki kampeni nayo ni fursa.

..wanaotumainiwa kuwapa CCM ushindi na vyombo vya DOLA.
 
Back
Top Bottom