Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
...njoo nikulalie....lala acha mapepe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...njoo nikulalie....lala acha mapepe
Mimi ni Ndimtu....Abdul Acha matusi!😂
Acha kucomplicate maisha isee acha watu waturahi huyo ni binadamu pia kama wewe na mimi anafurahi pia kufurahishwa.Sijajua kilitokea nini Hadi wahusika wakakubali kitu cha ajabu namna hii kikatokea. Hili lililotokea halikua sehemu ya uchekeshaji.... Huwezi kuomba kupiga picha na Rais WA Nchi (Mwanamke) eti ili umkomoe Ex wako. This is bulshit na Kwa kweli tuzuie huu ujinga usiendelee.
View attachment 3246880
Wanasema waliosoma Naye ni division oneYeye mwenyewe kakubali hayo maigizo ndio maana kapewa tuzo ya uigizaji.
Hivi na nyie mlitarajia division 0 ijifiche kweli?
View attachment 3246887
Amejenga mazoea na mbwa na sasa wanamfuata Hadi msikitini
🤣 🤣 🤣 🔊Sio kesi saana, ukizingatia ilikuwa ni show ya comedy, kwa hili simlaumu mama.
Ila uchawa ndio too much, kila kitu mama, moaka KOMEDI ni ya mama, tunapoelekea itakuwa tukizagamuana, mrembo akinogewa na utamu apige kelele mama mi5 tena..
🌤️🙋♂️✍️🎯🙏Mimi sikubaliani na mambo mengi ya Ccm Ila hapa ulichoandika ni uswahili na kuonesha kuwa rais sio binadamu
Nyie watu mko serious sana na maisha.Sijajua kilitokea nini Hadi wahusika wakakubali kitu cha ajabu namna hii kikatokea. Hili lililotokea halikua sehemu ya uchekeshaji.... Huwezi kuomba kupiga picha na Rais WA Nchi (Mwanamke) eti ili umkomoe Ex wako. This is bulshit na Kwa kweli tuzuie huu ujinga usiendelee.
View attachment 3246880
Nami nimeona haya maajabu, yaani rais mwanamke.
Ndiko tulikofika, hivi mkapa kuna mjinga angeweza kumsogelea apige picha ya kumringishia X kweli?
Kwahiyo mkuu unasema jamaa angesema Mh. Rais naomba nikushike kiuno ili nimkomeshe mke wangu ananikataza kushika kiuno chake wewe kwako ungechukulia poa tu.
Kwenye comedy wewe unapimaje dhamira ya mzungumzaji kama analengo lingine tofauti na kuchekesha? Kila kitu kina limit regardless ya sehemu.
Wanawake wananyasaji wapo ndio km wewe unabominanyasa mimi mpaka nipige picha White House mianze kibishobokea dear X NumbisaInasikitisha sana
Okay sikujua sheikh nisamehe saaaanaNyie watu mko serious sana na maisha.
Comedy hiyo . Ndio maana watu wanacheka.
Huyu ni Rais wa Nchi Sio Raisi wa TFFMkuu take it easy, Rais ni binadamu, mazingira na hadhira ilikuwa inaruhusu. Punguza imagination potofu!!
NimeachaAcha kucomplicate maisha isee acha watu waturahi huyo ni binadamu pia kama wewe na mimi anafurahi pia kufurahishwa.
Hapo Sawa nimekuelewa vizuri sanaSaidi katuwakilisha vizuri sisi marijali💪💪💪