Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natafuta comment yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sina muda wa kuangalia Video ila kama content / muktadha ulikuwa comedy kwahio chochote kitakachotokea huko nakichukulia kwamba ni comedy (siwezi kutafuta vitu serious kwenye comedy)Kumbe hujaangalia video Halafu unachangia? Poor you
Kuna watu wana uchawa wa kuzaliwa nao. Hawajui maisha mengine tofauti na hayo ya uchawa. Nyuma ya kila life accomplishment yao ni uchawa!Siasa ndio ina content kubwa zaidi ya comedy.
Comedy iliyofaa kwenye hiyo hadhira ni punching up, sio punching down, tatizo ni uchawa.
Si ndo hii ume reply? Au?Natafuta comment yako
Hakika !Stress, chuki na husda zitawauwa vijana.
Don't take life too seriously!
Wala kulalamika na Mikwara kama ya Lissu Sio dalili ya uongozi bora!
Lazima kuwepo na light moments!
Ni lini ccm walifanya masuala yanayolinda maadili?Sijajua kilitokea nini Hadi wahusika wakakubali kitu cha ajabu namna hii kikatokea. Hili lililotokea halikua sehemu ya uchekeshaji.... Huwezi kuomba kupiga picha na Rais WA Nchi (Mwanamke) eti ili umkomoe Ex wako. This is bulshit na Kwa kweli tuzuie huu ujinga usiendelee.
View attachment 3246880
SSH ni boya sana!Naomba mwamba kaomba raisi amchumu ila akamchomolea hivi nakumsindikiza na neno,...."kichwa chako wewe"
Acha kukariri maisha....Hadhi ya urais wa nchi unashuka sana kila kitu rais du aibu kubwa sana ni kama vile tumerogwa vile sijui tutafika salama kama nchi yenye chawa wengi sana
Boya ni mamakoor mzazi....SSH ni boya sana!
Uwe na adabu ,sawa ?!!iki ni kituko
mwenye kujua akaunti ya mama abduli humu jukwaani anisanue namimi nikamtupie mistari uko pm
Wanawake wengi wa kutoka visiwani wanakunywa sana pombe kali isipokuwa hufanya hivyo kwa kujificha!!Hatumii,
Dini inakataza!
lala acha mapepeUwe na adabu ,sawa ?!!
Abdul Acha matusi!😂Boya ni mamakoor mzazi....