Hii video haina Maadili, Huwezi kupiga picha na Rais ili umringishie ex wako

Hii video haina Maadili, Huwezi kupiga picha na Rais ili umringishie ex wako

Sijajua kilitokea nini Hadi wahusika wakakubali kitu cha ajabu namna hii kikatokea. Hili lililotokea halikua sehemu ya uchekeshaji.... Huwezi kuomba kupiga picha na Rais WA Nchi (Mwanamke) eti ili umkomoe Ex wako. This is bulshit na Kwa kweli tuzuie huu ujinga usiendelee.

View attachment 3246880
That was comedy, wewe vipiii???
 
Wewe ndio umetafsiri kipuuzi... Hakuna mahali amemaanisha anataka kupiga picha na Rais ili kumringishia mpenzi eti sababu ya uanamke wa Rais. No way acha ujinga. Anaomba kupiga sababu na mamlaka ya utaasisi wa rais, ili mpenzi wake ajue jamaa kwa sasa yupo juu au kimjini mjini ni system.. Umeelewa we tikiti... Tumpe heshima Rais wetu wakati mwingine.
Mweeeeee huu sasa ni upumbavu mkubwa, yaani hata kilichoandikwa na kusikika hapo hujaona? Sawa hakuna shida, twende kazi
 
Sioni cha ajabu, kwasababu context (event yenyewe) ni sahihi. Material ya comedian ni vyote vinavyomzunguka! Hata Rais wa Marekani hugeuka kuwa comedian siku ya annual White House Correspondents' Dinner!
Tunahitaji comedy zenye akili
 
Sijajua kilitokea nini Hadi wahusika wakakubali kitu cha ajabu namna hii kikatokea. Hili lililotokea halikua sehemu ya uchekeshaji.... Huwezi kuomba kupiga picha na Rais WA Nchi (Mwanamke) eti ili umkomoe Ex wako. This is bulshit na Kwa kweli tuzuie huu ujinga usiendelee.

View attachment 3246880
Hii naisave Google drive kwa kumbukizi jf wanaifuta kesho
 
Kuna mchekeshaji alisema wameambiwa na wale wa suti nyeusi, kuwa wawe huru waongee chochote ili mama acheke sana
Ila sijaelewa Said Said alimwambia nini mwisho Rais na kucheka sana mpaka akamgongea na mkono
Dogo alichojibu sijui ila nawaza yangu tu 😄
Lakini ni comedians walioruhusiwa na kukubaliwa
Wakati mwingine hata Rais anahitaji kufurahi

Zamani wafalme walikuwa na watu wa kuwachekesha
 
Sijajua kilitokea nini Hadi wahusika wakakubali kitu cha ajabu namna hii kikatokea. Hili lililotokea halikua sehemu ya uchekeshaji.... Huwezi kuomba kupiga picha na Rais WA Nchi (Mwanamke) eti ili umkomoe Ex wako. This is bulshit na Kwa kweli tuzuie huu ujinga usiendelee.

View attachment 3246880
Mkuu mm simkubali huyu Maza ila kuna vitu vingine tunazidisha sasa aise, hiyo ilikua ni sehemu ya kuburudika na kufurahia yaani kucheka. Hata yeye pia ni binadamu aise embu tupunguze chuki.
 
Back
Top Bottom