Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,033
- 10,622
Nimeona ugumu hata wa kuifungua sijui ipoje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chill out, huyo mama ndio vitu anapenda na wameshajua.Sijajua kilitokea nini Hadi wahusika wakakubali kitu cha ajabu namna hii kikatokea. Hili lililotokea halikua sehemu ya uchekeshaji.... Huwezi kuomba kupiga picha na Rais WA Nchi (Mwanamke) eti ili umkomoe Ex wako. This is bulshit na Kwa kweli tuzuie huu ujinga usiendelee.
View attachment 3246880
🙋♂️✍️🎯👌👍👏👊🤝🙏💐🎁🗼🎖️🛡️Mnajua maana ya Comedy na alikuwa sehemu gani ? Mkutano wa Kupanga mambo ya Taifa kama Rais au Mualikwa wa kwenye vichekesho ?
Ingawa sijaangalia video ila nimeona issue ni comedy kwahio najua kila kinachoendelea humo ni comedic..., Issue mnamchukulia Rais kama Mtawala au Mtakatifu fulani kumbe ni binadamu wa kawaida tu.... I had rather Rais ambaye ni down to earth na hana maadili kwa macho yenu wengi lakini haleti utani na mali ya UMMA, than vice versa...
Hivyo namlaumu Samia for the latter....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naomba mwamba kaomba raisi amchumu ila akamchomolea hivi nakumsindikiza na neno,...."kichwa chako wewe"
Ma-ex wanateswa huko kupitia Mheshimiwa RaisiNimeona ugumu hata wa kuifungua sijui ipoje
Ataitwa IkuluMaza naye ni NTU
Mzee hawezi kuwa na wivu Tena maana Hana nguvu za kumcontrol Tena huyo mwanamke kwa namna yeyote.Mzee wetu Hana wivu,
Nadhani ilikuwa vionjo vya hao wachekeshaji tu. Nothing serious to my side. Hata hivyo sipuuzi moja kwa moja shaka yako.Sijajua kilitokea nini Hadi wahusika wakakubali kitu cha ajabu namna hii kikatokea. Hili lililotokea halikua sehemu ya uchekeshaji.... Huwezi kuomba kupiga picha na Rais WA Nchi (Mwanamke) eti ili umkomoe Ex wako. This is bulshit na Kwa kweli tuzuie huu ujinga usiendelee.
View attachment 3246880
Ni sehemu ya Comedy tu...Sijajua kilitokea nini Hadi wahusika wakakubali kitu cha ajabu namna hii kikatokea. Hili lililotokea halikua sehemu ya uchekeshaji.... Huwezi kuomba kupiga picha na Rais WA Nchi (Mwanamke) eti ili umkomoe Ex wako. This is bulshit na Kwa kweli tuzuie huu ujinga usiendelee.
View attachment 3246880
NimekutumiaNi sehemu ya Comedy tu...
Maskini Tanzania DahNa wewe tafuta lishangazi upige nalo picha ufurahi.
OkayUsichukulie mambo siriasi sana braza.
Nimeambiwa "nisichukulie" Mambo serious sanaAmejenga mazoea na mbwa na sasa wanamfuata Hadi msikitini
Walikuwa kwenye hadhira ya comedi..Sasa washauri wake ndio tatizo,
Au tuseme hashauriki kama Bwana yule?