Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Maza naye ni NTUMaza nae mmmh damu inachemka
Whisky 🥃 ndio wa kusingiziwaSasa washauri wake ndio tatizo,
Au tuseme hashauriki kama Bwana yule?
Mzee wetu Hana wivu,Naomba mwamba kaomba raisi amchumu ila akamchomolea hivi nakumsindikiza na neno,...."kichwa chako wewe"
Sijataja mtu LAKINI hahahahahaHatumii,
Dini inakataza!
Kumbe hujaangalia video Halafu unachangia? Poor youMnajua maana ya Comedy na alikuwa sehemu gani ? Mkutano wa Kupanga mambo ya Taifa kama Rais au Mualikwa wa kwenye vichekesho ?
Ingawa sijaangalia video ila nimeona issue ni comedy kwahio najua kila kinachoendelea humo ni comedic..., Issue mnamchukulia Rais kama Mtawala au Mtakatifu fulani kumbe ni binadamu wa kawaida tu....
Sijaona cha ajabu!Sijajua kilitokea nini Hadi wahusika wakakubali kitu cha ajabu namna hii kikatokea. Hili lililotokea halikua sehemu ya uchekeshaji.... Huwezi kuomba kupiga picha na Rais WA Nchi (Mwanamke) eti ili umkomoe Ex wako. This is bulshit na Kwa kweli tuzuie huu ujinga usiendelee.
View attachment 3246880
Imagine hizi ndio akili za Watanzania, tunasikitishaMnapenda kuchukulia kila kitu nagative tu mumesahu prof mkenda alililia akilalama kwenye kipaza saut kwa kunyimwa kuonana na Rais nyinyi mnadhani kuonana na Rais ni mchezo eeee? 🤣
Vijana wa ovyo🤣Naomba mwamba kaomba raisi amchumu ila akamchomolea hivi nakumsindikiza na neno,...."kichwa chako wewe"