milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameishiwa.Wakuu,
Hii poster inatembea kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo kurasa za CHADEMA, je ni maandalizi ya maandamano mengine baada ya yale ya mwanzo kuingia doa baada ya viongozi wao kukamatwa siku ya maandamano?
Pia soma: Yaliyojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
Waondoeni barabarani wale waandamanaji wenye silaha na sare muoneUpuuzi mtupu siku ikifika hamtoki!
Wameishiwa.
Wameishiwa.
Wameishiwa.
Hukumu ya waliotumwa na afande ni kiinimacho; ishu nzima iko hivi
Hukumu ya kifungo cha maisha kwa wahuni waliotumwa na afande kumbaka na kumlawiti binti wa Yombo Dovya ni kiinimacho ambacho kimetumiwa na Serikali kuwapiga changa wananchi baada ya suala hilo kwenda viral. Ndivyo inavyoonekana dhahiri shahiri! Nasema hivi kwa sababu ukiangalia majibu...www.jamiiforums.com
Ulitakaje?Hukumu ya waliotumwa na afande ni kiinimacho; ishu nzima iko hivi
Hukumu ya kifungo cha maisha kwa wahuni waliotumwa na afande kumbaka na kumlawiti binti wa Yombo Dovya ni kiinimacho ambacho kimetumiwa na Serikali kuwapiga changa wananchi baada ya suala hilo kwenda viral. Ndivyo inavyoonekana dhahiri shahiri! Nasema hivi kwa sababu ukiangalia majibu...www.jamiiforums.com
UhainiWakuu,
Hii poster inatembea kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo kurasa za CHADEMA, je ni maandalizi ya maandamano mengine baada ya yale ya mwanzo kuingia doa baada ya viongozi wao kukamatwa siku ya maandamano?
Pia soma: Yaliyojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
Amechokwa uenyekitiMbowe kiongozi sahihi anaeongoza watu wasio sahihi.
Peke ake hawezi yani anachoka sana baba wa watu kabaki na manyumbu tu makobe.
NitakujibuUlitakaje?
Nini ?Wameishiwa.
Usiwalaumu.Noma sana, ila CHADEMA nao wanakwama, washaona njia wanayotumia haizai matunda kwanini wapo kama jiwe hawataki kubadilika, wakati zama zimebadilika?!
Inawezekana wanatumia akili zilezile zinazo feli, inatakiwa wajitafakali, wajadili mapungufu yaliyo pita, nguvu zao na mapungufu yao yakoje, (what is their strength and weakness), wapinzani wao ni wakina nani nguvu zao na mapungufu yao yakojeNoma sana, ila CHADEMA nao wanakwama, washaona njia wanayotumia haizai matunda kwanini wapo kama jiwe hawataki kubadilika, wakati zama zimebadilika?!
Kweli?!Kifupi Chadema siasa hawawezi kama ni kutaka kujulikana Marehemu Mtikila alijulikana nchi nzima mijini na vijinini kama mwanasiasa nguli hajawahi itisha maandamano lakini alivuma mno sababu akijua siasa kuwa siasa ni hoja ambazo kila mtanzania atasema ndio bila kujali yuko chama gani
Mtikila hilo aliweza
Mwingine aliweza alikuwa DK Slaa akiwa kiongozi Chadema alikuwa mjenzi wa hoja za kukubalika na watanzania wote wawe CCM au nje ya mafisadi kwa takwimu za uhakika
Sasa hivi Chadema hakina agenda ya kuvuta watanzania bila kujali vyama wawaunge mkono
Hawana hoja za mass concerns
Siasa ni ku deal na mass concern sio some individuals concern ndio maana serikali inajenga mabarabara,miradi ya maji,mashule ,hospitali ,Vituo vya afya nk kutatua kero za masses ambazo ni mass concerns za watu wa rika zote na vyama vyote popote
Chadema bado sana kisiasa hoja zao nyingi sio mass concerns hapo ndipo CCM inapowashindia
Wewe pengine unataka kuona action ya Chadema lakini unapenda kusimama mbali na kunyoosha kidole. Chadema ikishindwa unawaponda ikishinda unajiunga nao.Inawezekana wanatumia akili zilezile zinazo feli, inatakiwa wajitafakali, wajadili mapungufu yaliyo pita, nguvu zao na mapungufu yao yakoje, (what is their strength and weakness), wapinzani wao ni wakina nani nguvu zao na mapungufu yao yakoje
Kwasasa wana strategies za kimuhemko najua wanamachungu ya watu kutwaliwa na kupotezwa inatakiwa waangalie "possible and working solutions " siyo matamko tu, hata mimi hili la watu kupotezwa ama kukatishwa uhai wao linanichukiza lisiwe la vyama vya siasa tu linatakiwa libebwe na jamii kwa uharaka.Wewe pengine unataka kuona action ya Chadema lakini unapenda kusimama mbali na kunyoosha kidole. Chadema ikishindwa unawaponda ikishinda unajiunga nao.