Pre GE2025 Hii "Watake Wasitake" Inayosambaa kwa kasi Mitandaoni ni maandamano mengine ya kupinga utekaji na mauaji nchini?

Pre GE2025 Hii "Watake Wasitake" Inayosambaa kwa kasi Mitandaoni ni maandamano mengine ya kupinga utekaji na mauaji nchini?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Napendekeza hawa waleta vurugu wafuasi wa chadema wakiwa na kesi wasipate dhamana mpaka wanyoke kwasabu uwepo wao Ni kero Sana kwetu,
Tunaomba na sativa afunguliwe kesi ya matusi
Kama kuna kitu kitawasumbua ccm ni kutumia mabavu kupambana na mabadiliko. Mabadiliko hayakwepeki haya mfanye nini.
 
1000012697.jpg
 
Kama kawaida, napitia vichekesho visivyo na akili kupitia comments za nyumbu wa mbowe humu. Wanafurahidha sana na mawazo yao mgando. Wamevurugwa kiasi huwezi kujua huyu anayezungumza ni mkubwa au mdogo, wote wanaonekana akili zao sawa tu........ ujinga ujinga tu.
 
Watamfanya asisafiri tena kwenda nchi za nje. Maandamano yaliyopita yalimfanya ateme bungo kwenda kula Humburger za New York.
Aache kufanya kampeni Kwa Ajili ya uchaguzi 2024& 2025 aende Marekani kuhutubia? Sio mpumbavu kama Chadema.

Mda wa kwenda USA ni baada ya Uchaguzi mwakani.
 
Napendekeza hawa waleta vurugu wafuasi wa chadema wakiwa na kesi wasipate dhamana mpaka wanyoke kwasabu uwepo wao Ni kero Sana kwetu,
Tunaomba na sativa afunguliwe kesi ya matusi
We subiria zuchu aje maeneo yako uende tu

Ova
 
Aache kufanya kampeni Kwa Ajili ya uchaguzi 2024& 2025 aende Marekani kuhutubia? Sio mpumbavu kama Chadema.

Mda wa kwenda USA ni baada ya Uchaguzi mwakani.
Mna ahadi na Mungu kuwa atafika hiyo 2025 achilia mbali kushinda?
 
Kwa nini CCM huwa wanaona dola kupambana na CHADEMA ni kama wao CCM ndiyo inapambana na CHADEMA?

CCM wanajiona wao ni Dola.
 
CHADEMA wanafeli sana... Kinachotakiwa ni warudi kwenye mikakati ya kimtandao. Yaani kimya kimya!
Bi Chura na serikali yake ya samaki washtukie tu wananchi wapo barabarani!
yaaani wakati wanakusanyana au wanapeana taarifa yeye atakuwa hajui mpaka washtukie watu wapo barabarani kwlei ona aibu kuonyesha ujinga wako hadharani
 
Back
Top Bottom