Kama kuna kitu kitawasumbua ccm ni kutumia mabavu kupambana na mabadiliko. Mabadiliko hayakwepeki haya mfanye nini.Napendekeza hawa waleta vurugu wafuasi wa chadema wakiwa na kesi wasipate dhamana mpaka wanyoke kwasabu uwepo wao Ni kero Sana kwetu,
Tunaomba na sativa afunguliwe kesi ya matusi
Mmeshapuuzwa na WananchiKama kuna kitu kitawasumbua ccm ni kutumia mabavu kupambana na mabadiliko. Mabadiliko hayakwepeki haya mfanye nini.
Wakuu,
Hii poster inatembea kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo kurasa za CHADEMA, je ni maandalizi ya maandamano mengine baada ya yale ya mwanzo kuingia doa baada ya viongozi wao kukamatwa siku ya maandamano?
Pia soma: Yaliyojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
😂😂😂Maandamano yafanyike mikoa ya kanda ya ziwa, huku pwani akina pididi wengi, viuno vimeshatenguliwa.
Hawatavumiliwa tena this time wakirudia wanaweza jikuta jela wote na maumivu makalio wakajutia.Wakuu,
Hii poster inatembea kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo kurasa za CHADEMA, je ni maandalizi ya maandamano mengine baada ya yale ya mwanzo kuingia doa baada ya viongozi wao kukamatwa siku ya maandamano?
Pia soma: Yaliyojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
Aache kufanya kampeni Kwa Ajili ya uchaguzi 2024& 2025 aende Marekani kuhutubia? Sio mpumbavu kama Chadema.Watamfanya asisafiri tena kwenda nchi za nje. Maandamano yaliyopita yalimfanya ateme bungo kwenda kula Humburger za New York.
Wathubutu waone ,wakamuulize Sugu ana majibu ya kilichompata.Nahisi Mbeya wanataka kulianzisha upya mpaka waliotekwa wapatikane wakiwa hai au wamekufa.
Hizi ngonjera hazitawasaidiaMaandamano ya "Watahatua, na wakati wa kuonyesha kuwa hatukubaliani na ukatili wa aina yoyote.
Mabadiliko kama yapi hayo? 🤣🤣Kama kuna kitu kitawasumbua ccm ni kutumia mabavu kupambana na mabadiliko. Mabadiliko hayakwepeki haya mfanye nini.
Tungepuuzwa na wananchi tusingeshuhudia chaguzi za kishenzi hivi ili ccm kutangazwa washindi kwa shuruti.Mmeshapuuzwa na Wananchi
Ya chama cha majizi kukaa pembeni.Mabadiliko kama yapi hayo? 🤣🤣
We subiria zuchu aje maeneo yako uende tuNapendekeza hawa waleta vurugu wafuasi wa chadema wakiwa na kesi wasipate dhamana mpaka wanyoke kwasabu uwepo wao Ni kero Sana kwetu,
Tunaomba na sativa afunguliwe kesi ya matusi
Mna ahadi na Mungu kuwa atafika hiyo 2025 achilia mbali kushinda?Aache kufanya kampeni Kwa Ajili ya uchaguzi 2024& 2025 aende Marekani kuhutubia? Sio mpumbavu kama Chadema.
Mda wa kwenda USA ni baada ya Uchaguzi mwakani.
Kwa nini asifike? Wewe una ahadi nae kwamba hatifika 2025?Mna ahadi na Mungu kuwa atafika hiyo 2025 achilia mbali kushinda?
yaaani wakati wanakusanyana au wanapeana taarifa yeye atakuwa hajui mpaka washtukie watu wapo barabarani kwlei ona aibu kuonyesha ujinga wako hadharaniCHADEMA wanafeli sana... Kinachotakiwa ni warudi kwenye mikakati ya kimtandao. Yaani kimya kimya!
Bi Chura na serikali yake ya samaki washtukie tu wananchi wapo barabarani!
We unaonaje??Wakuu,
Hii poster inatembea kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo kurasa za CHADEMA, je ni maandalizi ya maandamano mengine baada ya yale ya mwanzo kuingia doa baada ya viongozi wao kukamatwa siku ya maandamano?
Pia soma: Yaliyojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024