Pre GE2025 Hii "Watake Wasitake" Inayosambaa kwa kasi Mitandaoni ni maandamano mengine ya kupinga utekaji na mauaji nchini?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Msirudie makosa
Msitangaze tarehe a week before..
Jirani zetu zoezi hili wanalimudu sana
Keep on moving
msipotangaziana mtajuwaje kuwa siku fulani ndiyo maandamano? mmeishiwa hoja nendeni mkakojoe mlale
 
yaaani wakati wanakusanyana au wanapeana taarifa yeye atakuwa hajui mpaka washtukie watu wapo barabarani kwlei ona aibu kuonyesha ujinga wako hadharani
Maandamano mengi yanayofanikiwa serikali inakuwa hambushed!
Kenya! Arab Spring! Kote serikalini zilishtukizwa! Maaskari hawakujipanga kwa wakati!
Wakiweza kufanya hivyo watashinda!

Kila mtu ni mjinga kwa wakati wake kama wewe ulivyo sasa!
 
 

Attachments

  • 5840030-8b6e32e8c5d088c4b2c50a4a8b0414c1.mp4
    14.7 MB
Kwa nini asifike? Wewe una ahadi nae kwamba hatifika 2025?
tatizo mnatumia matumbo yenu kuongea.

Sina ahadi ya kufika mimi wala yeye na kaa ukijua hata wewe huna hakika ya kufika kesho tu achilia mbali hiyo 2025. Hivyo mkifanya uchawa kumbukeni kuna mamlaka iliyo juu zaidi ya kumua hatma zetu wote.

Usistaajabu hiyo 2025 ikawa kuna tuta tu la huyo mnaejinasibisha nae kuwa atakuwa raisi. Na inawezakana pia ikawa yupo hai ila asiwe hata mjumbe wa nyumba kumi kwa kipindi hicho.

Sasa kaa hapo ushupaze fuvu kwa njaa zako kutokujua kuna mengi yaliyo nje ya matakwa yenu.
 
Bwege wewe ,kama Kuna mamlaka ilivyo Juu ndio inakwambia usifanye uchawa au kuweka mipango ya miaka 100 baadae?

Punguani waheed
 
Sasa simhamie hukohuko Kenya, nyie nyumbu maana daily ni ku Google Mambo ya Kenya tu, naona amani yetu mmeichoka.
Amani ni msingi wa maendeleo yetu
Hata huko Kenya wamefanya maandamano lakini hakuna walichopata zaidi ya vifo, majeraha na uharibifu wa mali.

Alìyefaidi ni Raila Odinga na chama chake ambacho kimeingizwa kwenye Serikali ya Umoja
 
Ninachokiona kwa upande wangu pia ni janja ya serikali kuwapotezea muda Chadema ku deal na haya mambo ya utekaji,upotezwaji wa watu,huku serikali wao wakiendelea kufanya figisu kwenye maandalizi ya chaguzi zinazokuja keshokutwa. Rejea taarifa ya Lissu Jana kuhusu Sheria na kanuni za uchaguzi kwenye utolewaji na urejesjaji wa form za wagombea. Ni mitego mitupu. Sasa wkt upinzani mkipambana na wasiojulikana,wao ccm wanafanya yao.
 
Na mwisho wagombea wa upinzani(hususan Chadema) wanaenguliwa wote kwa kukiuka kanuni na taratibu za uchaguzi
 
Sasa simhamie hukohuko Kenya, nyie nyumbu maana daily ni ku Google Mambo ya Kenya tu, naona amani yetu mmeichoka.
Amani ni msingi wa maendeleo yetu
Hizo kauli za kumtaka kila anayetoa maoni yaliyo nje ya matakwa yako, ahame nchi, ni upumbavu mkubwa.

Kwani wewe una haki gani kumzidi huyo anayetofautiana na wewe? Kwa nini usihame wewe?
 
vyombo vipo macho siku hiz nawaona tanpol masaa 24 kila eneo
 
Maandamano yafanyike mikoa ya kanda ya ziwa, huku pwani akina pididi wengi, viuno vimeshatenguliwa.
Na viongozi wenu wa kitaifa na chama ambao muda wao mwingi wanautumia huko huko Pwani ina maana wanataka kuwa pipidized?
 
pia wakipotezewa muda na gharama kufuatilia kesi zilizoko na zitakazoendelea kuwepo mahakamani
 
Wasitangaze tarehe tu,iwe fununu ili polisi wote waletwe kwenye mji/Miji ambayo polisi wanadhani yatafanyika.
 
Hizo kauli za kumtaka kila anayetoa maoni yaliyo nje ya matakwa yako, ahame nchi, ni upumbavu mkubwa.

Kwani wewe una haki gani kumzidi huyo anayetofautiana na wewe? Kwa nini usihame wewe?
Nawaonea huruma wasije wakawewuka Bora wahamie hukohuko Kenya . Ila Tz hatutaki ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…