Marine creature
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 2,259
- 2,971
Ina make senseanakua na namba za watu kama 200 hvi wote anawatumia sms kuomba iyo hela ndogo coz pia anajua mwanaume hawezi kumtumia 200 mara nyingi wanakuaga wanacheza michezo ya kila wiki hao...
ni wadangaji tu
Sizani Hilo mpiga ramli ajifichi matendo yake tu utayaonaMimi nilizani Tsh 100,200 huyo atakuwa mpiga ramli
Huyo manzi ni muajiriwa wa Serikalini sio mdangaji kabisaIna make sense
Bdo sanaa kuwaelewa...mshahara wake ni wa kununulia vijora,hand bags mpya na mawigi...hyo mia mbili mnaopigwa kwa wingi wenu analipia vikobaHuyo manzi ni muajiriwa wa Serikalini sio mdangaji kabisa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mkiombwa nyingi mnalalamika, haya unaombwa chenji bado unalalama
Au anaombaga 100k
Yaani hapo kwenye hiyo anayo kuomba anagopa kuongeza sifuri mbiliNawatakia sikukuu njema Jf
Ndugu zangu mwanamke ninaishi ishi naye amepata trip ya kikazi kwa miezi 6 sasa hivi inakaribia kumaliza mwenzi mmoja tangu aanze safari yake nikabaki mpweke.
Kwa hulka zetu na kibailojia tulivyoubwa huwezi ukaakaa miezi bila kufanya mapenzi itakutesa Sana mwisho siku utakuta unafanya vitu vya ovyo so nikaamua nikatafute mchepuko kidogo na kiukweli nimeweza kumpata mwanadada fulani hivi shombeshombe mzuri.
Lakini shakushangaza huyu manzi vizinga vyake atakuomba 100, 200 especially tukikutana na nikiwa mbali nae ataniomba 500 au kazidi Sana ni buku ni mimi tu au kuna wengine wamekutana na aina hii ya mademu?
Na ni demu mkali ile mbaya, msafi kimwili Unaweza kuingia chumvini nae bila wasiwasi kabisa na smart kimavazi mwanamke kama huyu inakuaje anaomba 100, 200 wataalamu tusaidiane please kuna wakati nawaza binafsi kama vile hana shida na pesa sema tu ananiomba hivyo kama chachu yakuongeza mapenzi
Ogopa sana mtu akikuomba hela ya coin hata wale wa barabarani c vzur kumpa mtu hela ya coin.... ndugu siku ukijakuachana nae anaweza kujakukufanya kitu kibaya ambacho kitakumaliza kiuchumiNawatakia sikukuu njema Jf
Ndugu zangu mwanamke ninaishi ishi naye amepata trip ya kikazi kwa miezi 6 sasa hivi inakaribia kumaliza mwenzi mmoja tangu aanze safari yake nikabaki mpweke.
Kwa hulka zetu na kibailojia tulivyoubwa huwezi ukaakaa miezi bila kufanya mapenzi itakutesa Sana mwisho siku utakuta unafanya vitu vya ovyo so nikaamua nikatafute mchepuko kidogo na kiukweli nimeweza kumpata mwanadada fulani hivi shombeshombe mzuri.
Lakini shakushangaza huyu manzi vizinga vyake atakuomba 100, 200 especially tukikutana na nikiwa mbali nae ataniomba 500 au kazidi Sana ni buku ni mimi tu au kuna wengine wamekutana na aina hii ya mademu?
Na ni demu mkali ile mbaya, msafi kimwili Unaweza kuingia chumvini nae bila wasiwasi kabisa na smart kimavazi mwanamke kama huyu inakuaje anaomba 100, 200 wataalamu tusaidiane please kuna wakati nawaza binafsi kama vile hana shida na pesa sema tu ananiomba hivyo kama chachu yakuongeza mapenzi
Kwani Nani kakwambia akiomba 100 au 200 nampa hiyo hiyo?utapigwa na kitu kizito mkuu , kiufupi akiomba 100 mpe ten na kuendelea utanishukuru miaka ya mbeleni
Mzee baba ni mtumishi wa umma ana miaka 29demu wako ni darasa la saba ko hizo hela anaenda kununulia barafu na bajia
Anataka apime uwezo wako wa kujiongeza na kama unazo helaa...!! siku akikuomba 100 mpe elfu 10 uonee kama atakataaa.. Huyo ana shidaa sema tu anashindwa kusema direct pia anaogopa atakupoteza itakuwa motooo unamuingiaMzee baba ni mtumishi wa umma ana miaka 29
Sawa ila hiyo ya kusema mwanaume ukikaa mwezi bila kufanya mapenzi unafanya mambo za ovyo sio kweli, hiyo iwe hulka yako tu na kujiendekeza, ila unaweza kaa mda wowote ule hata miaka na hamna tatizo,acha kuendekeza ngono man.Nawatakia sikukuu njema Jf
Ndugu zangu mwanamke ninaishi ishi naye amepata trip ya kikazi kwa miezi 6 sasa hivi inakaribia kumaliza mwenzi mmoja tangu aanze safari yake nikabaki mpweke.
Kwa hulka zetu na kibailojia tulivyoubwa huwezi ukaakaa miezi bila kufanya mapenzi itakutesa Sana mwisho siku utakuta unafanya vitu vya ovyo so nikaamua nikatafute mchepuko kidogo na kiukweli nimeweza kumpata mwanadada fulani hivi shombeshombe mzuri.
Lakini shakushangaza huyu manzi vizinga vyake atakuomba 100, 200 especially tukikutana na nikiwa mbali nae ataniomba 500 au kazidi Sana ni buku ni mimi tu au kuna wengine wamekutana na aina hii ya mademu?
Na ni demu mkali ile mbaya, msafi kimwili Unaweza kuingia chumvini nae bila wasiwasi kabisa na smart kimavazi mwanamke kama huyu inakuaje anaomba 100, 200 wataalamu tusaidiane please kuna wakati nawaza binafsi kama vile hana shida na pesa sema tu ananiomba hivyo kama chachu yakuongeza mapenzi
Ni mtumishi wa umma na anakaa nyumbani kwaoNgono inakupeleke puta kijana, ukiendekeza ngono itakufilisi.
Kwani huyo manzi anaishi kwao au kwake?? Ana kazi au hana!?
Yawezekana hana majukumu mengi, subiri subiri baada ya miez kadhaa akuombe kodi utuletee uzi tena.
Ni coin mzeeBrother hajaelewa yaani akisema naomba 100 sio hii ya coin maana yake anataka 100,000/= kama kweli ni hiii coin ya 100 au 200 basi sambaaaa fasta eneo hilo maana utapigwa na kimbora cha tunguli na kibwata la jogoooo
Mzee baba ni 100 Hii ya coinAnajitoa ufahama huyu kaombwa 100k anasema 100. Hakuna dem wa kuomba 100 & 200 hata mtoto wa lakwanza haimtoshi jamaa ameshindwa kujiongeza.