Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
AhahahaNa wew na kupaa hii Man....... ukiona tako linakuwashaaa mkeo analiwaaaa ndogoooo........
PoleDaaah mume wangu huwa ananicheat sana siku mbili kabla sijaingia period [emoji17][emoji17]. Atanitambua leo.
You can't battle with nature.Imani za miaka ya kusadikika iliyopita
Ni iman tu hizo, ni kama ile ya mkono ukiwasha unapata hela watu tukapaka ad pilipili lakini hola.You can't battle with nature.
Ishara zipo tu kwa kila jambo, hata kifo hakitokei tu lazima upewe ishara ujiandae sema watu wengi hawatembei na ishara
Ni iman tu hizo, ni kama ile ya mkono ukiwasha unapata hela watu tukapaka ad pilipili lakini hola.
Sawachai na mkate mzima
View attachment 2787281
Ukiona chuchu zako zinakuuma jua kuwa mume wako añavunja amri ya sita almaarufu Anazini na mwanamke mwingine huko aliko.
Hii hutokea pale mtoto wako anayenyonya ameamka na wewe uko mbali kidogo na hutokea pia mume wako anapovunja amri ya sita.
Wakaka nanyi niwape ishara mjue wake zenu kuwa wanavunjwa amri ya sita?
100% true.
Tupe tukaueUkiona chuchu zako zinakuuma jua kuwa mume wako añavunja amri ya sita almaarufu Anazini na mwanamke mwingine huko aliko.
Hii hutokea pale mtoto wako anayenyonya ameamka na wewe uko mbali kidogo na hutokea pia mume wako anapovunja amri ya sita.
Wakaka nanyi niwape ishara mjue wake zenu kuwa wanavunjwa amri ya sita?
100% true.
Nimeona hii meme jumatatu
Ajabu jumatatu hiyo hiyo usiku chuchu zikaniuma,na huwa sio kawaida kuuma....sijui ni kweli nimesalitiwa 😓
Hahaha utawapa tafsiri mbaya sasaUkiona chuchu zako zinakuuma jua kuwa mume wako añavunja amri ya sita almaarufu Anazini na mwanamke mwingine huko aliko.
Hii hutokea pale mtoto wako anayenyonya ameamka na wewe uko mbali kidogo na hutokea pia mume wako anapovunja amri ya sita.
Wakaka nanyi niwape ishara mjue wake zenu kuwa wanavunjwa amri ya sita?
100% true.
Sasa kama mtoto kaamka na mama yuko mbali,na baba wamtoto naye yuko mbali zaidi (elewa neno mbali zaidi. )Ata tofautishajeUkiona chuchu zako zinakuuma jua kuwa mume wako añavunja amri ya sita almaarufu Anazini na mwanamke mwingine huko aliko.
Hii hutokea pale mtoto wako anayenyonya ameamka na wewe uko mbali kidogo na hutokea pia mume wako anapovunja amri ya sita.
Wakaka nanyi niwape ishara mjue wake zenu kuwa wanavunjwa amri ya sita?
100% true.