Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ya mkono ni kweli,nimeishuhudia mara nyingi tuNi iman tu hizo, ni kama ile ya mkono ukiwasha unapata hela watu tukapaka ad pilipili lakini hola.
inawezekana lakini kwangu haijawahi kufanya kazi.Hii ya mkono ni kweli,nimeishuhudia mara nyingi tu
Basi pole Sana cutie, hautaumwa tena siku nyingineNi kweli kwani? 😥
Sijambo,shkamoo[emoji2960]inawezekana lakini kwangu haijawahi kufanya kazi.
Hujambo?
Shikamoo mwenyewe kama ni vizuri 😂Sijambo,shkamoo[emoji2960]
Ah,hutaki salamu mkuuShikamoo mwenyewe kama ni vizuri [emoji23]
Salam nataka ila hiyo ya hivyo ni kunizeeshaAh,hutaki salamu mkuu
Mm mke akiliwa huwa najua nikipiga simu anapokea kachanganyikiwaUkiona chuchu zako zinakuuma jua kuwa mume wako añavunja amri ya sita almaarufu Anazini na mwanamke mwingine huko aliko.
Hii hutokea pale mtoto wako anayenyonya ameamka na wewe uko mbali kidogo na hutokea pia mume wako anapovunja amri ya sita.
Wakaka nanyi niwape ishara mjue wake zenu kuwa wanavunjwa amri ya sita?
100% true.
Utafiti wako umetumia muda ganiiUkiona chuchu zako zinakuuma jua kuwa mume wako añavunja amri ya sita almaarufu Anazini na mwanamke mwingine huko aliko.
Hii hutokea pale mtoto wako anayenyonya ameamka na wewe uko mbali kidogo na hutokea pia mume wako anapovunja amri ya sita.
Wakaka nanyi niwape ishara mjue wake zenu kuwa wanavunjwa amri ya sita?
100% true.
It's real & truth.Utafiti wako umetumia muda ganii
Tupe piaUkiona chuchu zako zinakuuma jua kuwa mume wako añavunja amri ya sita almaarufu Anazini na mwanamke mwingine huko aliko.
Hii hutokea pale mtoto wako anayenyonya ameamka na wewe uko mbali kidogo na hutokea pia mume wako anapovunja amri ya sita.
Wakaka nanyi niwape ishara mjue wake zenu kuwa wanavunjwa amri ya sita?
100% true.
[emoji1] af unaweza kuwa mdogo wangu ujue[emoji125]Salam nataka ila hiyo ya hivyo ni kunizeesha
😀 Comment yako imenichekesha sanaDaaah mume wangu huwa ananicheat sana siku mbili kabla sijaingia period [emoji17][emoji17]. Atanitambua leo.