Hii ya mwisho wadada siwafundishi tena

Hii ya mwisho wadada siwafundishi tena

Waambie tu ukweli kuwa wakiwashwa chuchu sio kwamba tunawasaliti bali watuite tuje kuzinyonya Yan watunyonyeshe waume zao. Mbona kazi nyepesi kwetu hiyo
 
Ukiona chuchu zako zinakuuma jua kuwa mume wako añavunja amri ya sita almaarufu Anazini na mwanamke mwingine huko aliko.
Hii hutokea pale mtoto wako anayenyonya ameamka na wewe uko mbali kidogo na hutokea pia mume wako anapovunja amri ya sita.
Wakaka nanyi niwape ishara mjue wake zenu kuwa wanavunjwa amri ya sita?
100% true.
Mm mke akiliwa huwa najua nikipiga simu anapokea kachanganyikiwa
 
Ukiona chuchu zako zinakuuma jua kuwa mume wako añavunja amri ya sita almaarufu Anazini na mwanamke mwingine huko aliko.
Hii hutokea pale mtoto wako anayenyonya ameamka na wewe uko mbali kidogo na hutokea pia mume wako anapovunja amri ya sita.
Wakaka nanyi niwape ishara mjue wake zenu kuwa wanavunjwa amri ya sita?
100% true.
Utafiti wako umetumia muda ganii
 
Ukiona chuchu zako zinakuuma jua kuwa mume wako añavunja amri ya sita almaarufu Anazini na mwanamke mwingine huko aliko.
Hii hutokea pale mtoto wako anayenyonya ameamka na wewe uko mbali kidogo na hutokea pia mume wako anapovunja amri ya sita.
Wakaka nanyi niwape ishara mjue wake zenu kuwa wanavunjwa amri ya sita?
100% true.
Tupe pia
 
Nilikuwa na mpenzi ndan alafu chuchu zake zinauma vp mpenzi wake alikuwa anamsaliti au? 😀😀😀😀 Tafiti zingne bhn dooooh
 
Back
Top Bottom