Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
- Thread starter
- #41
Ndio. Wewe ulikuwa mchepuko tuNilikuwa na mpenzi ndan alafu chuchu zake zinauma vp mpenzi wake alikuwa anamsaliti au? 😀😀😀😀 Tafiti zingne bhn dooooh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio. Wewe ulikuwa mchepuko tuNilikuwa na mpenzi ndan alafu chuchu zake zinauma vp mpenzi wake alikuwa anamsaliti au? 😀😀😀😀 Tafiti zingne bhn dooooh
Wa kwanza kuolewa ndiye atahisi hiyo haliKama tupo wake wanne je
sidhani ila inawezekana itabidi uniambie vizuri kwa ukaribu😅[emoji1] af unaweza kuwa mdogo wangu ujue[emoji125]
Hata hapahapa mkuu,naweza kukuambia,au ndo tusimwage mchele kwenye kuku wengisidhani ila inawezekana itabidi uniambie vizuri kwa ukaribu[emoji28]
Kama kweli hivi ila ni sababu nyingine tofauti wala sio hiyo yakwakoNdio. Wewe ulikuwa mchepuko tu
Ndio hapa hapafai karibu tuambizane kule kwingine na kwingineko 😉Hata hapahapa mkuu,naweza kukuambia,au ndo tusimwage mchele kwenye kuku wengi
Hio ni minyoo tu mzee wangu🤣🤣🤣Na wew na kupaa hii Man....... ukiona tako linakuwashaaa mkeo analiwaaaa ndogoooo........
Hizo ni sababu za kibailojia maandalizi ya mwili tu haina ukweli wowote na mume .. Hizi story huwezi zikuta ulaya utazkutaa tanzania tuDaaah mume wangu huwa ananicheat sana siku mbili kabla sijaingia period [emoji17][emoji17]. Atanitambua leo.
Hizi conspiracy theories hazina uharisia wowote. Unaambiwa akili za kuambiwa changanya na zako. Yani anyandue yeye uumie wewe...?Nimeona hii meme jumatatu
Ajabu jumatatu hiyo hiyo usiku chuchu zikaniuma,na huwa sio kawaida kuuma....sijui ni kweli nimesalitiwa 😓