love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
Ni tajibu tu kama utaleta ushahidi wa uliyosema..Wala siishi nchi lenu la vumbi na hao unaowataja unawajua mwenyewe na uzao wako.
Jibu hoja kwani ukweli hata kama ni ukweli mchungu inabidi usemwe tu, kama unadhani kila mchangiaji anachangia kwa mrengo wa kisiasa ina maana uwezo wako kiakili ni mdogo na haustahili kujadili hoja zinazohitaji tafakuri.
Vinginevyo kasome magazeti ya udaku maana ndio unachoweza.