Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Pole sana;
- Kula vyakula vinavyolainisha choo; matunda, mboga za majani, nafaka n.k
- Kunywa maji mengi
- Fanya mazoezi ya kutembea, ikiwezekana ya kuruka ruka
- Usichelewe kwenda haja pale unapojisikia
- Tumia maji ya uvugu vugu katika kujisafisha
- Kama tatizo ni kubwa sana, dokta atakupa dawa ya kulainisha choo
- Kama maumivu ni makali, unaweza kutumia paracentam, brufen n.k ili kupunguza maumivu
- Pia unaweza kutumia dawa ya tube, kupaka eneo la haja 'nitroglycerin ointment'
- Upasuaji uwe ni hatua ya mwisho kama njia zingine zitashindikana