Hiki kidonda nateseka sana nikienda haja, mwenye kujua dawa ya kuharisha

Hiki kidonda nateseka sana nikienda haja, mwenye kujua dawa ya kuharisha

Mkuu usifanye upasuaji kwanza, nakuhakikishia kuna mtu anaweza kutibu, ndugu yangu wa kiume alikua hata kusimamisha ni shida ila amepina, hiyo ni wazi Bawaziri

Mpigie huyu
0747933658, ila nadhani ni sheikh sheikh, mida ya swala huwa hapokei. Pole sana
Ahsante sana kakaangu, Mungu akubariki
 
Kadri siku zinavyokwenda kidonda kinapona na hiyo nyama inarudi ndani, na kidonda kwa nje kinapona kabisaaa, sahivi hata kunawa nanawa fresh maana nyuma hata kujisafisha nilikuwa siwezi kutokana na maumivu. So nina imani kinapona.. Ila napata tu tabu wakati wa kujisaidia maana kipo kwenye njia kbs
Operesheni tu itakuponesha... hiyo bawasiri ina tabia ya kupotea kwa muda na kurudi tena
 
Izo dawa ilikuwa za week 1 tu na nishamaliza. Pia akanambia tu nikazane kukaa kwenye maji ya vuguvugu na dettol bs
Kukaa kwenye maji ya uvugu vugu, how?

Na tokea umetumia hizo dawa, na kufatisha ushauri wake, unaonaje maendeleo?
 
Kukaa kwenye maji ya uvugu vugu, how?

Na tokea umetumia hizo dawa, na kufatisha ushauri wake, unaonaje maendeleo?
Maendeleo mazuri. Kidonda kinapungua. Nachukua maji ya vuguvugu. Naweka dettol afu nakaa kwa dakka 20. Inasaidia kidonda kuwa katika hali ya usafi na kinawah kupona
 
Maendeleo mazuri. Kidonda kinapungua. Nachukua maji ya vuguvugu. Naweka dettol afu nakaa kwa dakka 20. Inasaidia kidonda kuwa katika hali ya usafi na kinawah kupona
Sawa, kwavile upo katika hatua nzuri, basi endelea kufatisha ushauri wake
 
𝐀𝐜𝐡𝐚 𝐯𝐲𝐚𝐤𝐮𝐥𝐚 𝐯𝐢𝐥𝐢𝐯𝐲𝐨𝐤𝐨𝐛𝐨𝐥𝐞𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐥𝐚 𝐯𝐲𝐚𝐤𝐮𝐥𝐚 𝐯𝐲𝐚 𝐧𝐲𝐮𝐳𝐢 𝐧𝐲𝐮𝐳𝐢 𝐤𝐮𝐧𝐲𝐰𝐚 𝐦𝐭𝐢𝐧𝐝𝐢 𝐝𝐚𝐤𝐢𝐤𝐚 𝐚𝐧𝐠𝐚𝐥𝐚𝐮 𝐦𝐛𝐢𝐥𝐢 𝐤𝐚𝐛𝐥𝐚 𝐲𝐚 𝐤𝐮𝐥𝐚 𝐤𝐮𝐥𝐚 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐦𝐚𝐩𝐚𝐩𝐚𝐢 𝐡𝐚𝐩𝐨 𝐦𝐚𝐦𝐛𝐨 𝐦𝐚𝐳𝐮𝐫𝐢


𝐈𝐋𝐀 𝐊𝐀𝐌𝐀 𝐁𝐀𝐃𝐎 𝐍𝐈 𝐊𝐈𝐆𝐔𝐌𝐔 𝐍𝐉𝐎𝐎 𝐏𝐌
 
𝐚𝐧𝐲 𝐰𝐚𝐲 𝐜𝐨𝐦𝐞 𝐏𝐌 𝐮𝐫𝐠𝐞𝐧𝐭𝐥𝐲
 
Hata mimi mwanzo nilijua ni Bawasiri, kila ninaemwambia ananambia bawasiri, nikatumia dawa za kienyeji. Sasa juzi nikaamua kwenda hosp nikaambiwa anal fiscure
Hyo ni Anal Fissure kama daktari alivyokueleza. Tumia dawa alizokuelekeza bila shaka ahueni huenda ikapatikana. Ila ikishindikana wazo la upasuaji litakuwa la kipaumbele. Wengi huwa wanarecover after Surgery.
 
A.alaykum wakuu, ninaomba msaada wenu jamani kwani ninapitia magumu sana, niende moja kwa moja kwenye mada
.
Kama mwezi mmoja umepita kuna siku nilienda haja kubwa, wakati najikamua nikapata maumivu kama nimechanika na kweli kinyesi kikatoka na damu kidogo... Nilirudi nyumbani kujichunguza vizuri nikakuta kweli nimechanika kidonda ni kikubwa kimetokeza kwa nje kimeingia hadi ndani, halafu kuzunguka kidonda pamevimba kiasi kwamba kuna kama linyama limening'inia chini likubwa, yaaani utaweza useme ni uvimbe umepasuka nashindwa hata kuelewa

Siku inayofata Nilienda RABININSIA HOSPITAL tegeta, doctor akaniangalia pamoja na maelezo yangu (maana hili tatizo limeanza muda, mwanzo nilikuwa napata vidonda kwa nje kuzunguka eneo la haja kubwa, siku naamka asubuhi nakuta tu kidonda, nakiuguza siku ingine nakuta tu, kila siku ni vidonda tu kuzunguka eneo la haja kubwa, nikatumia dawa hiyo hali ya nje ikapona sasa tatizo likawa ndani ) ko kwa maelezo yangu haya dr akanambia nina tatizo la anal fiscure sijui, kwa kiswahili mipasuko ya m.kundu akanipa tu dawa za kutumia ila kisipopona niende wanifanyie upasuaji.

Sasa kilichonifanya niwaombe msaada ndugu zangu hichi kidonda nateseka sana nikienda haja, yaaani napata maumivu makali mnoo pamoja na damu nadhani choo kinakwangua, naombeni mnisaidie mwenye kujua dawa ambayo nikibanwa haja nakunywa then niwe naharisha tu, yaaani maumivu yake acha kbs, nisaidieni jamani
Pole mkuu.. ila hii ni kama hemorrhoid kwa maelezo yako kutokana na io hali ya nyamanyama kutokea wakati wa haja..
Io anal fissure alio kwambia daktari ndo io mipasuko inayoleta kidonda na ikiwa chronic io matibabu yake ndo upasuaji..
Ila kwa kuwa umesema maendeleo ni mazuri fata waliyosema wakuu hapo.. Hakikisha hupati choo kigumu..
 
Kitu ya kuitwa bawasili hyo mkuu tumia mafuta ya black seed kupakaa hapo chap utapona
 
A.alaykum wakuu, ninaomba msaada wenu jamani kwani ninapitia magumu sana, niende moja kwa moja kwenye mada
.
Kama mwezi mmoja umepita kuna siku nilienda haja kubwa, wakati najikamua nikapata maumivu kama nimechanika na kweli kinyesi kikatoka na damu kidogo... Nilirudi nyumbani kujichunguza vizuri nikakuta kweli nimechanika kidonda ni kikubwa kimetokeza kwa nje kimeingia hadi ndani, halafu kuzunguka kidonda pamevimba kiasi kwamba kuna kama linyama limening'inia chini likubwa, yaaani utaweza useme ni uvimbe umepasuka nashindwa hata kuelewa

Siku inayofata Nilienda RABININSIA HOSPITAL tegeta, doctor akaniangalia pamoja na maelezo yangu (maana hili tatizo limeanza muda, mwanzo nilikuwa napata vidonda kwa nje kuzunguka eneo la haja kubwa, siku naamka asubuhi nakuta tu kidonda, nakiuguza siku ingine nakuta tu, kila siku ni vidonda tu kuzunguka eneo la haja kubwa, nikatumia dawa hiyo hali ya nje ikapona sasa tatizo likawa ndani ) ko kwa maelezo yangu haya dr akanambia nina tatizo la anal fiscure sijui, kwa kiswahili mipasuko ya m.kundu akanipa tu dawa za kutumia ila kisipopona niende wanifanyie upasuaji.

Sasa kilichonifanya niwaombe msaada ndugu zangu hichi kidonda nateseka sana nikienda haja, yaaani napata maumivu makali mnoo pamoja na damu nadhani choo kinakwangua, naombeni mnisaidie mwenye kujua dawa ambayo nikibanwa haja nakunywa then niwe naharisha tu, yaaani maumivu yake acha kbs, nisaidieni jamani
ebu njoo unioneshe mkuu hwenda nikakusaidia kalanga1
 
Pole sana mkuu. Nafikiri tafuta alipo daktari bingwa wa mambo hayo na ufuate muongozo wake mkuu. Usisahau pia kuulizia tiba kienyeji ya shida hiyo. Mungu akupe uponyaji wa haraka mkuu
 
Back
Top Bottom