Hiki kidonda nateseka sana nikienda haja, mwenye kujua dawa ya kuharisha

Pole sana;
  • Kula vyakula vinavyolainisha choo; matunda, mboga za majani, nafaka n.k​
  • Kunywa maji mengi​
  • Fanya mazoezi ya kutembea, ikiwezekana ya kuruka ruka​
  • Usichelewe kwenda haja pale unapojisikia​
  • Tumia maji ya uvugu vugu katika kujisafisha​
  • Kama tatizo ni kubwa sana, dokta atakupa dawa ya kulainisha choo​
  • Kama maumivu ni makali, unaweza kutumia paracentam, brufen n.k ili kupunguza maumivu​
  • Pia unaweza kutumia dawa ya tube, kupaka eneo la haja 'nitroglycerin ointment'​
  • Upasuaji uwe ni hatua ya mwisho kama njia zingine zitashindikana​
 
Hiyo ni chanzo cha fistura kama ile ya wanawake, dawa ni oparesheni kama atakavyoshauri dakitari.
 
Sasa kwanini uweke hapa nenda hospital za private nzuri utapata huduma
 
Mkuu usifanye upasuaji kwanza, nakuhakikishia kuna mtu anaweza kutibu, ndugu yangu wa kiume alikua hata kusimamisha ni shida ila amepina, hiyo ni wazi Bawaziri

Mpigie huyu
0747933658, ila nadhani ni sheikh sheikh, mida ya swala huwa hapokei. Pole sana
 
Asnate sana kwa ushaur
 
Asante saana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…