Kuna upepo wa Mafua na kikohozi unasumbua sana kuanzia January, February na sasa March! Familia nzima wanakohoa, kuanzia watoto wadogo, wanafunzi na hata wakubwa!
Mara nyingi navyojua kikohozi huwa ni cha mda mfupi kinapoa baada ya dawa! Lakini hiki cha awamu hii kinapungua tu lakini hakiishi wala hakisikii dawa za hospital wa mitishamba!
Familia nzima ni mwendo wa Koh koh koh koh! Hata haieleweki ni hapa tu au kuna upepo mbaya?
Mwenye uelewa juu ya hili atuambie! Hospital kila tukienda vipimo vyote wanasema ni mafua tu yakawaida!
Mara nyingi navyojua kikohozi huwa ni cha mda mfupi kinapoa baada ya dawa! Lakini hiki cha awamu hii kinapungua tu lakini hakiishi wala hakisikii dawa za hospital wa mitishamba!
Familia nzima ni mwendo wa Koh koh koh koh! Hata haieleweki ni hapa tu au kuna upepo mbaya?
Mwenye uelewa juu ya hili atuambie! Hospital kila tukienda vipimo vyote wanasema ni mafua tu yakawaida!