Tetesi: Hiki kinachofanyika hapa kwenye ligi kuu ya bongo ni dhahiri Yanga atakua bingwa kila msimu!

Tetesi: Hiki kinachofanyika hapa kwenye ligi kuu ya bongo ni dhahiri Yanga atakua bingwa kila msimu!

Acha umbea na woga. Kama wewe ni Simba, jikite kujenga timu yako siyo kutafuta vijisababu vya kutaka kuihsusha Yanga kutokana na udhifu wenu. Kwa mantiki yako hata Mashujaa illifunga Simba ili kuifeva Yanga, Ihefu imaibana Simba ili kufeva Yanga, Magereza iliibana Simba ili kuifeva Yanga, Namungo iliibana Simba ili kuifeva Yanga.

Inasikistisha sana wafuasi wa Simba wanapotaka kudhalilisha ligi yote kwa sababu tu wao hawakuapat. Hii mentality ya tukose wote haiwapeleki Simba mbele. Mwaka juzi tu Simba, Yanga pamoja na timu nyingi kwenye ligi kuu zilikuwa zinadhaminiwa na SportPesa ila kwa vile wakati huo Simba ilikuwa inafanya vizuri hawakuleta hiz lawama za kipumbavu. Leo wamagtelemsha chini wanaanza kutafuta vijisababu nyokonyoko
Mimi ni mwanachama halali wa coastal union moja ya wadhamini wetu ni GSM pia tunachangia ubingwa wa yanga kila msimu point 6!
 
Nimeangalia michezo ya yanga vs ihefu(singida black stars) na mchezo wa leo ni hakika hizi timu mbili zipo hapo kumtengenezea yanga point 12 kila msimu, na hiyo imefanywa kwa makusudi na mmiliki wa hizo timu ambae ni mmoja wa baraza la wadhamini wa yanga.

wengi wasichokijua nyuma ya pazia mdhamini mkuu wa yanga yeye ndio master mind wa mchongo wa kununua hizo timu anapenyeza pesa kwa kiongozi wake wa baraza la wadhamini ,
hivyo timu nyingine kila mtakavyopambana jueni yanga tayari ana point sita mzunguuko wa kwanza na mzunguuko wa pili kwa singida fountain na singida black.

Mdhamini wa yanga kaapa hata kama singida zote zitashuka basi plan yake ni kununua timu tatu nyingine.
Tff nao pia wawe makini kwa kua huu mpango sio mzuri kwa afya ya soka la bongo ,huku timu zinashinda kimchongo zikienda huko kimataifa robo fainali ndio mafanikio yao.

Mnaishia kumtukana motsepe ili hali mnajua magahamu mnayoyafanya, leo mpira kabla haujachezwa tayari unajua kabisa timu fulani inakwenda kufungwa kwa kuzote ni za mmiliki mmoja.
Kiukweli sio poa hata kidogo ligi inapoteza hadhi na mvuto!
hivi umevimbiwa mapalage?
 
Nimeangalia michezo ya yanga vs ihefu(singida black stars) na mchezo wa leo ni hakika hizi timu mbili zipo hapo kumtengenezea yanga point 12 kila msimu, na hiyo imefanywa kwa makusudi na mmiliki wa hizo timu ambae ni mmoja wa baraza la wadhamini wa yanga.

wengi wasichokijua nyuma ya pazia mdhamini mkuu wa yanga yeye ndio master mind wa mchongo wa kununua hizo timu anapenyeza pesa kwa kiongozi wake wa baraza la wadhamini ,
hivyo timu nyingine kila mtakavyopambana jueni yanga tayari ana point sita mzunguuko wa kwanza na mzunguuko wa pili kwa singida fountain na singida black.

Mdhamini wa yanga kaapa hata kama singida zote zitashuka basi plan yake ni kununua timu tatu nyingine.
Tff nao pia wawe makini kwa kua huu mpango sio mzuri kwa afya ya soka la bongo ,huku timu zinashinda kimchongo zikienda huko kimataifa robo fainali ndio mafanikio yao.

Mnaishia kumtukana motsepe ili hali mnajua magahamu mnayoyafanya, leo mpira kabla haujachezwa tayari unajua kabisa timu fulani inakwenda kufungwa kwa kuzote ni za mmiliki mmoja.
Kiukweli sio poa hata kidogo ligi inapoteza hadhi na mvuto!
Wabongo bwana

ukiambiwa ulete ushahidi hauna

story za vijiweni

Yanga asingeshinda hii gemu usingeandika
 
Kelele kama hizi tunazitarajia sana mind you hii inaweza kwenda kwa miaka kama 7 hivi au 10 so jiandae mno!
 
Hii ndio shida ya mashabiki wa simba wapo bize kuifatilia yanga kuliko kudeal na timu yao.
 
Mbona hata simba anatupa point 6, kashakuwa team ya mwigulu kwani..?
 
Back
Top Bottom