mapesa yamejaa
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 1,412
- 3,419
Kama kunawizi wameufanya lazima washughulikiwe.Lakini kitendo cha kulazimisha kukubali uteuzi wa rais ni wa kipuuzi na kipumbavu.walimu walikataa uteuzi sababu ya kuona mambo ya hovyo yanayofanywa na huyu bibi huku wapuuzi wake wakimusifu.yaani wapuuzi kwa wapuuzi wanasifiana.utakubalije uteuzi kwa muuza nchi?