a sinner saved by Christ
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 611
- 993
Mkuu Hyrax , naona leo umeamua kulipingana neno sahihi kabisa la Kiswahili.Yaani nakutana na mfanyakazi wangu mmoja leo namuuliza ulikuwa wapi time niliyokuwa nakutafuta ananiambia boss nilitoka kuhemea nikamuuliza kuhemea ndio maana yake nini maana tayari kichwani nilishawaza mambo ya hovyo akaniambia kuhemea ni kwenda kununua mahitaji ya nyumbani yaani sikumuelewa hivi neno kuhemea ni kununua mahitaji ya nyumbani?
Ungekuwa unazungumza kwa mayakini (facts), kamwe usingeweka huo mfano. Naweza kusema kisahihi kwamba wewe ndiye uko nyuma ya wakati.USHAURI WANGU KWA BAKITA
Maneno kama haya yanayotumiwa sana na jamii ambayo yamezuka yenyewe na jamii inayakubali na sehemu kubwa ya jamii inayatumia katika kuwasiliana iyaingize katika lugha ya kiswahili iyarasmishe.
Tuchukulie mfano
BODA BODA-piki piki ya abiria
BODA WANGU, au yule BODA-dereva wa boda
Hii ndio lugha inayotumiwa mtaani.
Kuhemea na hemea ni vitenzi. Kuhemea na mahemezi ni nomino/jina.kuhemea tunamaanisha kununua mahitaji ya nyumbani kitenzi chake ni mahemezi
Hemea na emea, yote mawili ni maneno sahihi ya Kiswahili yenye maana tofauti. Ingawa kwa muktadha wa mleta-mada, neno sahihi ni emea.N
Kakosea kutamka tu ila ni KUEMEA kwa maana ya kufanya manunuzi ya mahitaji ya nyumbani.
Kuna maneno mawili unachanganya: kuemea na kuhemea. Haya mawili ni sahihi, yenye maana tofauti kabisa.Duu kumbe bora hata umeuliza labda tutapata majibu,
Nimejiuliza sana hili neno. Je ni rasmi?
Lakini pia nikajiuliza kwa niniwasema kuhemea?
Nikawaza labda kile kitendo cha kwenda kununua vitu vilivyosambazwa chini, unaviinamia hivyo ni kama vile unavihemea/pumulia, Maana hii hutumika hasa kwenye manunuzi ya sokoni specifically vitu vya kula mf matunda, mboga, viungo n.k mostly vinatandazwa chini hasa huko kwa hao wenzetu.
BTW ni neno ambalo silipendi kabisa, maana hata unayemuuliza kwa nini mnaita kuhemea hana jibu, Kuna haja gani ya kuleta msamiati complicated, bora hata ingekua neno la kilunga, neno sokoni mbona lipo wazi tuu kwa kila mtu,
Japo lishazoeleka sana sasa hivi huku kusini tumechelewa kulitumia kama kanda ya ziwa.kawaida mnoo kwetu kuhemea tunamaanisha kununua mahitaji ya nyumbani kitenzi chake ni mahemezi
Kwani nyie wa daslamu kitendo cha kwenda kununua vyakula vya ndani mnaitaje?
Ungekuwa unazungumza kwa mayakini (facts), kamwe usingeweka huo mfano. Naweza kusema kisahihi kwamba wewe ndiye ukoni kweli sijaweka mifano halisi ya maneno ya kiswahili yaliyotungwa na BAKITA .Ungekuwa unazungumza kwa mayakini (facts), kamwe usingeweka huo mfano. Naweza kusema kisahihi kwamba wewe ndiye uko nyuma ya wakati.
kwakuwa ni maneno magumu ambayo siyakumbuki ambayo ni tofauti na maneno yanayotumika na jamii mtaani katika mawasiliano.
Nikiyakumbuka nita yashare hapa.
Una hakika neno bodaboda halijasanifiwa na kuingizwa kwenye lugha rasmi ya Kiswahili? Hilo ndilo swali langu.ni kweli sijaweka mifano halisi ya maneno ya kiswahili yaliyotungwa na BAKITA .
kwakuwa ni maneno magumu ambayo siyakumbuki ambayo ni tofauti na maneno yanayotumika na jamii mtaani katika mawasiliano.
Nikiyakumbuka nita yashare hapa.
nimesema sijaweka mfano halisiUna hakika neno bodaboda halijasanifiwa na kuingizwa kwenye lugha rasmi ya Kiswahili? Hilo ndilo swali langu.
najua neno boda boda limerasmishwa kwwnye kamusi za kiswahili na kingereza.Una hakika neno bodaboda halijasanifiwa na kuingizwa kwenye lugha rasmi ya Kiswahili? Hilo ndilo swali langu.
Wewe ni wa kizazi kipi! Neno kuhemea si jipya ni la tangu enzi za Adamu na Hawa likiwa na maana ya kutafuta chakula cha siku kwa watu walio masikini.Yaani nakutana na mfanyakazi wangu mmoja leo namuuliza ulikuwa wapi time niliyokuwa nakutafuta ananiambia boss nilitoka kuhemea nikamuuliza kuhemea ndio maana yake nini maana tayari kichwani nilishawaza mambo ya hovyo akaniambia kuhemea ni kwenda kununua mahitaji ya nyumbani yaani sikumuelewa hivi neno kuhemea ni kununua mahitaji ya nyumbani?
"Shopping" ni neno linalotumiwa na watu wenye uwezo wa manunuzi ya kila kitu.Hilo neno si la kizazi hiki, bali la kizazi kile. Ninakaribia miaka 40 na hilo neno nimekua nalisikia likiwa na maana ya kununua mahitaji ya nyumbani. Kizazi hiki wanasema 'shopping/kununua groceries'.
Hilo neno lipo toka zamani ni nsamiati wa kusema natafuta kula, kama kuku anavyotafuta kula, anahemea.Yaani nakutana na mfanyakazi wangu mmoja leo namuuliza ulikuwa wapi time niliyokuwa nakutafuta ananiambia boss nilitoka kuhemea nikamuuliza kuhemea ndio maana yake nini maana tayari kichwani nilishawaza mambo ya hovyo akaniambia kuhemea ni kwenda kununua mahitaji ya nyumbani yaani sikumuelewa hivi neno kuhemea ni kununua mahitaji ya nyumbani?