mlinzi mlalafofofo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2008
- 725
- 1,282
true.😆Kuhemea neno la zamani linalotumika Kanda ya ziwa.
Kiswahili cha wasukuma na jirani zao.
ongezea na neno hili 'wananzengo'
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
true.😆Kuhemea neno la zamani linalotumika Kanda ya ziwa.
Kiswahili cha wasukuma na jirani zao.
weeh acha urongo wako. kiswahili hakina neno hilo. huo ni msemo wa kanda ya ziwa huko umeshaambiwa.Mkuu Hyrax , naona leo umeamua kulipingana neno sahihi kabisa la Kiswahili.
NB: Halafu hii sentensi yako imekaaje? Mbona ni ndeeeefu na wala haionekani wapi umeweka japo kituo kimoja au mkato? Yaani ni mwendo wa vurugu mechi! Nadhani ugonjwa unao wewe. Inasikitisha kwamba huuoni.
"Kujumua" ni neno la wafanyabiashara wanaonunua mali ya jumla na kuuza rejareja.Kujumua
nimekutana nayo iringa ikiwa na maana amenunu kwa bei ndogo bei ya jumla kwa ajili ya kwenda kuuza kwa bei kubwa kidogo apate faida.(Kuchuuza/mchuuzi)KUJUMUA KWA maana ya mfanya biashara
Neno moja linaweza likawa na maana zaidi ya moja .
Kiswahili cha huko mbeya, kanda ya ziwa wanatumia neno kulangua"Kujumua" ni neno la wafanyabiashara wanaonunua mali ya jumla na kuuza rejareja.
Kuhemea ni kula slope kwa mtu mwingine kwasababu huna uwezo wa kujitunzaHilo neno si la kizazi hiki, bali la kizazi kile. Ninakaribia miaka 40 na hilo neno nimekua nalisikia likiwa na maana ya kununua mahitaji ya nyumbani. Kizazi hiki wanasema 'shopping/kununua groceries'.
Nafikiri kuhemea linatumika na watu masikini zaidi/kipato cha chini.Hilo neno si la kizazi hiki, bali la kizazi kile. Ninakaribia miaka 40 na hilo neno nimekua nalisikia likiwa na maana ya kununua mahitaji ya nyumbani. Kizazi hiki wanasema 'shopping/kununua groceries'.
Wakanda yaziwa haoHilo neno si la kizazi hiki, bali la kizazi kile. Ninakaribia miaka 40 na hilo neno nimekua nalisikia likiwa na maana ya kununua mahitaji ya nyumbani. Kizazi hiki wanasema 'shopping/kununua groceries'.
Hilo neno nalisikia sana kwa watu wa kanda ya ziwa,ila kwetu Nyanda za juu kusini sijawahi kusikiaYaani nakutana na mfanyakazi wangu mmoja leo namuuliza ulikuwa wapi time niliyokuwa nakutafuta ananiambia boss nilitoka kuhemea nikamuuliza kuhemea ndio maana yake nini maana tayari kichwani nilishawaza mambo ya hovyo akaniambia kuhemea ni kwenda kununua mahitaji ya nyumbani yaani sikumuelewa hivi neno kuhemea ni kununua mahitaji ya nyumbani?
wasukuma na waha ndio wanapenda kulitumia hili neno, mara ya kwanza kulisikia niliuliza mara mbili, mtu anakuambia ametoka kuhemeaYaani nakutana na mfanyakazi wangu mmoja leo namuuliza ulikuwa wapi time niliyokuwa nakutafuta ananiambia boss nilitoka kuhemea nikamuuliza kuhemea ndio maana yake nini maana tayari kichwani nilishawaza mambo ya hovyo akaniambia kuhemea ni kwenda kununua mahitaji ya nyumbani yaani sikumuelewa hivi neno kuhemea ni kununua mahitaji ya nyumbani?
Nyie mnajumuaHilo neno nalisikia sana kwa watu wa kanda ya ziwa,ila kwetu Nyanda za juu kusini sijawahi kusikia
Kuku anachakura, sio anahemea.Hilo neno lipo toka zamani ni nsamiati wa kusema natafuta kula, kama kuku anavyotafuta kula, anahemea.
Hebu wacha kujidhalilisha mwamba, hilo neno mbona lipo muda sana! Kiswahili sahihi kabisa hicho labda kama angesema "kuemea" ndiyo tungemjadili!Yaani nakutana na mfanyakazi wangu mmoja leo namuuliza ulikuwa wapi time niliyokuwa nakutafuta ananiambia boss nilitoka kuhemea nikamuuliza kuhemea ndio maana yake nini maana tayari kichwani nilishawaza mambo ya hovyo akaniambia kuhemea ni kwenda kununua mahitaji ya nyumbani yaani sikumuelewa hivi neno kuhemea ni kununua mahitaji ya nyumbani?
kawaida mnoo kwetu kuhemea tunamaanisha kununua mahitaji ya nyumbani kitenzi chake ni mahemezi
Anayeharibu kiswahili ni nyie mnaobadili maana ya maneno. Hili neno ni sawa according to TUKIYaani nakutana na mfanyakazi wangu mmoja leo namuuliza ulikuwa wapi time niliyokuwa nakutafuta ananiambia boss nilitoka kuhemea nikamuuliza kuhemea ndio maana yake nini maana tayari kichwani nilishawaza mambo ya hovyo akaniambia kuhemea ni kwenda kununua mahitaji ya nyumbani yaani sikumuelewa hivi neno kuhemea ni kununua mahitaji ya nyumbani?
Kujumua wanalitumia sana maeneo ya nyanda za juu kusini.Kujumua=kuhemea(Kanda ziwa)=kufungusha(Tanga)=manunuzi ya vitu vingi kwa Mara moja(Swahili )
Humo humo mzee babaMzee baba kitakuwaje kitenzi tena hicho, labda kama unamaanisha nomino...
Kitenzi huwa hakina umoja au wingi...
SahihiKuhemea ni kula slope kwa mtu mwingine kwasababu huna uwezo wa kujitunza
SHOPPING SIO KUHEMEA