Hiki ndio kikosi cha kwanza, SimbA SC 2020/2021.

Hiki ndio kikosi cha kwanza, SimbA SC 2020/2021.

Da Gladiator

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
1,641
Reaction score
2,646
Kama vipi tunamtaka Bayern Munich 'The Bavarians'
IMG-20200816-WA0009.jpg
 
Kama vipi tunamtaka Bayern Munich 'The Bavarians'View attachment 1539355
Mimi ni shabiki nguli wa Timu ya wananchi Young Africans Sc, kusema ukweli nakosa amani kabisa kila nikifikiria tutakutana na Simba sc mara mbili kwenye ligi kuu msimu ujao, na kila nikiangalia kikosi chao kinavyotisha naona tukipigwa 5 tena kama kipindi kile.
Daima mbele nyuma mwiko.
 
Mimi ni shabiki nguli wa Timu ya wananchi Young Africans Sc, kusema ukweli nakosa amani kabisa kila nikifikiria tutakutana na Simba sc mara mbili kwenye ligi kuu msimu ujao, na kila nikiangalia kikosi chao kinavyotisha naona tukipigwa 5 tena kama kipindi kile.
Daima mbele nyuma mwiko.
Haha , Nyie mnaanza mazoezi lini.
 
Hii timu ikikutana na timu inayopaki basi afu anapiga mipira mirefu nyuma ya mabeki hasa pembeni lazima akufunge tu

Reffer Leicester city ya 2016 ilikuwa inacheza style hii ninayoisema
Kama kweli hivi.
 
Back
Top Bottom