Hiki ndiyo kituko nlichowahi kukutana nacho makaburini usiku. Sitosahau

Alikua harmonize huyo. Si umesema alikua anavuta sigara huku akakohoa
 
Una uhakika hao waliokuwa mango garden walikuwa ni twanga pepeta kweli


Isiwe na hao hao jamaa walijigeuza kuna Ali Choki πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yaan mbuzi na sigara yake akaona isiwe tabu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kumbe hata mzuka sometimes unakimbia mizuka mienzake nlishangaa sana πŸ˜‚πŸ˜‚
 

i say​

i will never ever forget it​

Hii "i say" haikua na ulazima hapo..statement ya pil hapo ilikua inajitosheleza kabisaa
 
ikabidi nigeuke ili nitoke nduki maana niliona pale hata karate zangu haziwezi[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…