Jeep wrangler
JF-Expert Member
- Jan 7, 2024
- 524
- 1,093
Hivi kwanza hadi usikie kijambo limekukaribia kiasi gani?
Jf raha sana😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kwanza hadi usikie kijambo limekukaribia kiasi gani?
Tumrpigwa😂
Hapo kwenye mzuka kujamba mmh🤣🤣Sio story kaka, huu mziki nilikutana nao live. Usiombe ukumbane nao ndugu yangu 😂😂
Hiyo ninayokwambia mimi imetokea miaka ya 90. Alafu haya mambo hutokea pale ambapo mtu hukutarajia.Haya makaburi ya kwa jongo hayana wachawi zaidi ya usiku kujaa waganga wa kienyeji wakiwa na wateja wao mfano mganga wa diamond uwa ndio eneo lake la kuwatibia wasanii na mbuzi wapo wengi sana wamejaa pale makaburini wanazaliana mpaka leo hawana mmiliki kwani wenyeji wana waogopa kuwachukua ,wanadai wamesomewa albadili.
Mimi kipindi cha ujana nimekatiza sana hapo katikati ya makaburi tena muda mbaya saa 8 mpaka saa 9 nikitoka kwenye muziki kurudi nyumbani zaidi nilikua nakutana na waganga wakiwa na wadada au wamama.mji huu watu wanaishi kwa mambo ya ajabu sana.
Huenda huwa wanafanya mashindano hayo wenyewe kwa wenyewe baada ya kugundua kuwa sisi hatuwapendi na tunawaogopa 😂😂dah!
Ile mbio umetimka najaribu kuimagine Hussein Bolt sijui kama angeuona au kukukamata aise 🐒
kweli vibwengo sio vitu vya mchezo mchezo.....
napendekeza ikiwezekana vibwengo vitumike kuibuka vipaji vya wakimbiaji wenye kasi na spidi zaidi 🤓
Siri ya mtungi ijuayo kata. Wewe hauwezi kubali maana sio ulieona. Usiombe ukutane na vibwengo ndugu yangu kama ni chooni utasahau hata kuvaa chumi utoke nduki uchi.Nyie waoga sana, hakunaga hayo mambo. Tatizo mnayatengeneza vichwani mwenu, mnakuja kusimulia uongo.
Hawawezi kuelewa sababu ni daladala kila mahala hakuna kukatiza makaburi na sehemu zenyewe zimejaa watu TV zimeeneaHuu ulioandika hapa ni ukweli mtupu, sema watoto wa miaka ya 2000 kuja juu hawawezi kukuelewa.
mwanangu umenitajia hayo majina umenikumbusha utoto aisee movie ya kwanza kuona ilikua disco dancer.... wahindi waliteka hisia za muafrika kipindi kile ...andha kanoon hafu kila movie amrish poor ndo jambazi kuu😂😂 alooUmeitaja hiyo Loha umenikumbusha mbali sana. 1993 ( std 2) 1994( std 3) 1995( std 4)
Mambo ya Amrish Puri na Mithun Chakraboth.
Movie yangu pendwa ilikuwaga Tridev( Oye Oye) Dance Dance, Disco Dancer, Vishwatmar, Andha Kanoon
Nolstagia is real
Sasa wewe ulijuaje kama wanajamba? Tena kwanini hukumfuata mbuzi uone anaelekea wapi? Tena alikuwa akivuta sigara kwahiyo alikimbia nao mdomoni? Yule si analiaga wakati anakimbia haikumdondoka?[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio story kaka, huu mziki nilikutana nao live. Usiombe ukumbane nao ndugu yangu [emoji23][emoji23]
umewaza kama mimi...huyu bwana bhangi zake siku hii alivutia chooniManina nimecheka 😂😂😂 una uhakika ulikuwa huvuti ?
Ukiona mtu anapinga ujue naye yumo hataki watu wajue kama kuna mambo kama hayo.Siri ya mtungi ijuayo kata. Wewe hauwezi kubali maana sio ulieona. Usiombe ukutane na vibwengo ndugu yangu kama ni chooni utasahau hata kuvaa chumi utoke nduki uchi.
Utakuwa mwanachama mwenzao weweNyie waoga sana, hakunaga hayo mambo. Tatizo mnayatengeneza vichwani mwenu, mnakuja kusimulia uongo.