Hiki ndiyo kituko nlichowahi kukutana nacho makaburini usiku. Sitosahau

Hiki ndiyo kituko nlichowahi kukutana nacho makaburini usiku. Sitosahau

Sisi tulikua tunatoka bagamoyo kumzika jirani yetu. Kufika njiani tukakuta pembeni ya barabara kuna fimbo ina kofia. Jamaa mmoja akasema hapa kuna mzee anataka kwenda mjini (Dar) hivyo hii fimbo ni saini ya kuonesha kuwa gari itakayoanza kufika hapa na kuona fimbo na kofia hii isimame kumsubiri huyo mzee aje apande tuende nae.

Dereva wetu alivyosikia vile akataka asimame kumsubiri huyo mzee ambae hata yeye alikuwa hamjui. Sisi tukaanza kupiga kelele kuwa asisimame maana wengine tunachelewa katika shughuli zetu, dereva akatusikia akaendelea.

Kufika mbele kabla ya kufika katika mpaka wa Dar na Bagamoyo gari yetu ikaacha njia, tukaenda kulivamia bonge la mti dereva hapo hapo akakata moto, i mean akafariki.

Haya mambo sio poa
 
Niaje waungwana,

Hiki kisa, au tukio lilintokea miaka mingi kidogo. Enzi zile za kwenda kuangalia movie katika vibanda vya video. Sasa siku hiyo nilienda kuangalia video katika banda moja nililokuwa napenda kwenda kuangalia.

Banda hilo lilikuwa maeneo ya Manzese Midizini kwa mama fulan jina kapuni, na mimi home ni maeneo ya Magomeni mikumi jijini Dar es salaam.

Njia yangu kubwa kutoka home hadi Midizini, ilikuwa kagera kimamba, nakatiza daraja la mbao, napandisha pale Mburahati Mianzini, napasua Makaburi ya Mburahati kwa jongo hadi midizini. Na kurudi i was doing the same thing kwa kufuata njia ile ile niliyokuja nayo.

Ratiba yangu kwa siku ilikuwa ni shule kwanza, nlipotoka shule, nlielekea mazoezini (mpirani), baada ya kutoka mpirani ndo nikawa naenda sasa kujipoza vibandani kumuangalia Dharmendra, Amita Bachan, Rambo, Anord, Bruce Lee nk.

Ratiba yangu ya mwisho baada ya kutoka huko katika banda la video, ilikuwa ni kwenda katika maskani yetu fulan ambayo ni ya uncle wangu kujifunza mchezo wa karate. Uncle ndo alikuwa masta wetu. Hivyo nilijiamini sana kwamba hakuna kitu au mjinga yeyote anaeweza kunifanyia ushen.z.i mbele yangu. Karate na ngumi ni michezo ambayo humfanya mchezaji ajiamini sana, kwamba anaweza kupambana na mtu yoyote, mahali popote na kwa muda wowote.

Basi bwana siku hiyo nimemaliza kumuangalia Dharmendra mida ya usiku, nakumbuka ilikuwa movie fulan inaitwa LOHA. Tukatoka kila mtu akawa anaelekea kwao. Mimi nikawa natambaa mdogo mdogo kuelekea home.

Nilivyofika katika makaburi ya mburahati kwa jongo kama kawaida yangu, nikageuka nyuma kuangalia huku na huko, sikuona mtu ananifuata nikaendelea na safari yangu.

Sasa nimesogea sogea hadi katikati ya makaburi, kwa mbele nikaona kitu kama mbuzi mweupe, lakini kilichonishangaza na kunitia hofu ni kwamba yule mbuzi alikuwa kama vile amekaa kwenye kitu anavuta sigara, nikafikicha macho kama vile siamini ninachokiona.

Nikaendelea kusogea taratibu ili nihakikishe kuwa ninachokiona ni chenyewe au.

Kusogea nikasikia mbuzi anakohoa, ikabidi nigeuke ili nitoke nduki maana niliona pale hata karate zangu haziwezi kunisaidia.

Sasa wakati nageuka nikaona nyuma yangu kuna kundi la watu wamebeba jeneza wanakuja upande wangu halafu juu ya jeneza kuna mtu kakaa na yeye anavuta fegi, halafu kila jamaa wakipiga hatua, yeye anajamba.

Nikaona nyuma hakufai bora huku huku nilipotaka kupakimbia. Nikageuka na kuanza kutoka nduki kuelekea kwa mbuzi anaevuta sigara. Ghafla nikaona na mbuzi na yeye anatoka nduki na sigara yake.

Akili ikanijia nikaacha kukimbia ule upande anakimbilia mbuzi, nikaelelea upande wangu.

Breki ya kwanza ikawa Magomeni Mapipa, yani sikumbuki hata mikumi home nilipapita saa ngapi, au kule Mapipa nilifika fikaje fikaje.

Nikarudi nyumbani salama. Toka siku hiyo sikurudi tena kwenda video usiku, na ukawa mwisho wa kuendekeza movie.

Ni nani mwngine ambae ashawahi kukumbana na songombingo la aina hiyo?

Aisee it was scary
Sasa wakati nageuka nikaona nyuma yangu kuna kundi la watu wamebeba jeneza wanakuja upande wangu halafu juu ya jeneza kuna mtu kakaa na yeye anavuta fegi, halafu kila jamaa wakipiga hatua, yeye anajamba.

Nikaona nyuma hakufai bora huku huku nilipotaka kupakimbia. Nikageuka na kuanza kutoka nduki kuelekea kwa mbuzi anaevuta sigara. Ghafla nikaona na mbuzi na yeye anatoka nduki na sigara yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niaje waungwana,

Hiki kisa, au tukio lilintokea miaka mingi kidogo. Enzi zile za kwenda kuangalia movie katika vibanda vya video. Sasa siku hiyo nilienda kuangalia video katika banda moja nililokuwa napenda kwenda kuangalia.

Banda hilo lilikuwa maeneo ya Manzese Midizini kwa mama fulan jina kapuni, na mimi home ni maeneo ya Magomeni mikumi jijini Dar es salaam.

Njia yangu kubwa kutoka home hadi Midizini, ilikuwa kagera kimamba, nakatiza daraja la mbao, napandisha pale Mburahati Mianzini, napasua Makaburi ya Mburahati kwa jongo hadi midizini. Na kurudi i was doing the same thing kwa kufuata njia ile ile niliyokuja nayo.

Ratiba yangu kwa siku ilikuwa ni shule kwanza, nlipotoka shule, nlielekea mazoezini (mpirani), baada ya kutoka mpirani ndo nikawa naenda sasa kujipoza vibandani kumuangalia Dharmendra, Amita Bachan, Rambo, Anord, Bruce Lee nk.

Ratiba yangu ya mwisho baada ya kutoka huko katika banda la video, ilikuwa ni kwenda katika maskani yetu fulan ambayo ni ya uncle wangu kujifunza mchezo wa karate. Uncle ndo alikuwa masta wetu. Hivyo nilijiamini sana kwamba hakuna kitu au mjinga yeyote anaeweza kunifanyia ushen.z.i mbele yangu. Karate na ngumi ni michezo ambayo humfanya mchezaji ajiamini sana, kwamba anaweza kupambana na mtu yoyote, mahali popote na kwa muda wowote.

Basi bwana siku hiyo nimemaliza kumuangalia Dharmendra mida ya usiku, nakumbuka ilikuwa movie fulan inaitwa LOHA. Tukatoka kila mtu akawa anaelekea kwao. Mimi nikawa natambaa mdogo mdogo kuelekea home.

Nilivyofika katika makaburi ya mburahati kwa jongo kama kawaida yangu, nikageuka nyuma kuangalia huku na huko, sikuona mtu ananifuata nikaendelea na safari yangu.

Sasa nimesogea sogea hadi katikati ya makaburi, kwa mbele nikaona kitu kama mbuzi mweupe, lakini kilichonishangaza na kunitia hofu ni kwamba yule mbuzi alikuwa kama vile amekaa kwenye kitu anavuta sigara, nikafikicha macho kama vile siamini ninachokiona.

Nikaendelea kusogea taratibu ili nihakikishe kuwa ninachokiona ni chenyewe au.

Kusogea nikasikia mbuzi anakohoa, ikabidi nigeuke ili nitoke nduki maana niliona pale hata karate zangu haziwezi kunisaidia.

Sasa wakati nageuka nikaona nyuma yangu kuna kundi la watu wamebeba jeneza wanakuja upande wangu halafu juu ya jeneza kuna mtu kakaa na yeye anavuta fegi, halafu kila jamaa wakipiga hatua, yeye anajamba.

Nikaona nyuma hakufai bora huku huku nilipotaka kupakimbia. Nikageuka na kuanza kutoka nduki kuelekea kwa mbuzi anaevuta sigara. Ghafla nikaona na mbuzi na yeye anatoka nduki na sigara yake.

Akili ikanijia nikaacha kukimbia ule upande anakimbilia mbuzi, nikaelelea upande wangu.

Breki ya kwanza ikawa Magomeni Mapipa, yani sikumbuki hata mikumi home nilipapita saa ngapi, au kule Mapipa nilifika fikaje fikaje.

Nikarudi nyumbani salama. Toka siku hiyo sikurudi tena kwenda video usiku, na ukawa mwisho wa kuendekeza movie.

Ni nani mwngine ambae ashawahi kukumbana na songombingo la aina hiyo?

Aisee it was scary

Makaburini: Ni sehemu iliyojaa upweke na ukiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa wakati nageuka nikaona nyuma yangu kuna kundi la watu wamebeba jeneza wanakuja upande wangu halafu juu ya jeneza kuna mtu kakaa na yeye anavuta fegi, halafu kila jamaa wakipiga hatua, yeye anajamba.

Nikaona nyuma hakufai bora huku huku nilipotaka kupakimbia. Nikageuka na kuanza kutoka nduki kuelekea kwa mbuzi anaevuta sigara. Ghafla nikaona na mbuzi na yeye anatoka nduki na sigara yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukikaa chini nchumali, na ukinyanyuka juu nchale 😂😂😂
 
mwanangu umenitajia hayo majina umenikumbusha utoto aisee movie ya kwanza kuona ilikua disco dancer.... wahindi waliteka hisia za muafrika kipindi kile ...andha kanoon hafu kila movie amrish poor ndo jambazi kuu😂😂 aloo
Yani enzi hizo majambazi waliokuwa wanaongoza kunogesha movie walikuwa ni Amrish Puri sisi tulipenda kumwita mzee ashanti, au Deni (mzee fulani alikuwa na sura kama ya kichina kichina), pia alikuwepo mungine tulimwita Shakti, mungine kadel kana.

Kwa upande wa masterling kuna Dharmendra na mwanae Sunny Deol, Kuna Amita Bachan, Mithun Chakarabot, Vijay Kumar, Ajey, Sunil Shety, Sanj duty, Sharu Khan na wengine wengi.

Kwa sasa mtu ambae anaweza kucheza movie watu wa aina zote yani wa miaka ya 90 na sasa wakaipenda ni Sharu Khan na Salman Khan.
 
Sasa wewe ulijuaje kama wanajamba? Tena kwanini hukumfuata mbuzi uone anaelekea wapi? Tena alikuwa akivuta sigara kwahiyo alikimbia nao mdomoni? Yule si analiaga wakati anakimbia haikumdondoka?[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yule nahisi alikuwa mwenzao, ningekimbilia kule anapoelekea yeye huenda nisingerudi. Ndomaana nilishtuka na kubadili uelekeo. Nikakimbia kivyangu.
 
Ukiona mtu anapinga ujue naye yumo hataki watu wajue kama kuna mambo kama hayo.
Hapa kuna ukweli. Wanaobisha sana ndio wahusika wenyewe wa kimya kimya 😂😂😂
 
Hizi ishu zinatokea ila hiyo image unavyoona ni ubongo wako mwenyewe tu unakudanganya kwa vile una hofu ya kufirikia kitu fulani kwa sana😅😅😅...Hii inasababishwa na akili za kitoto
 
Sisi tulikua tunatoka bagamoyo kumzika jirani yetu. Kufika njiani tukakuta pembeni ya barabara kuna fimbo ina kofia. Jamaa mmoja akasema hapa kuna mzee anataka kwenda mjini (Dar) hivyo hii fimbo ni saini ya kuonesha kuwa gari itakayoanza kufika hapa na kuona fimbo na kofia hii isimame kumsubiri huyo mzee aje apande tuende nae.

Dereva wetu alivyosikia vile akataka asimame kumsubiri huyo mzee ambae hata yeye alikuwa hamjui. Sisi tukaanza kupiga kelele kuwa asisimame maana wengine tunachelewa katika shughuli zetu, dereva akatusikia akaendelea.

Kufika mbele kabla ya kufika katika mpaka wa Dar na Bagamoyo gari yetu ikaacha njia, tukaenda kulivamia bonge la mti dereva hapo hapo akakata moto, i mean akafariki.

Haya mambo sio poa
Haya mambo kama mtu hujakutana nayo hauwezi kuelewa. Hata mimi before ya kukutana nayo sikuwa nayaelewa kabisa.
 
Huoni kama kakosea kuandika Magomeni Mikumi...
Sasa hata kama kakosea bado haihalalishi mtu kushangazwa vile alivyoshangaza.

Magomeni kota kweli ni mbali sana kufika midizini maana itakulazimu uvuke Morogoro road.

Lakini Mikumi sio mbali kivile hadi mtu uone maajabu. Alafu sisi tulikuwa tunaenda yale maeneo ambayo mtu una uhakika wa kuona zile movie uzipendazo, sio ilimradi kuangalia movie tu hata kama hauzipendi.
 
Back
Top Bottom