Hiki ndiyo kituko nlichowahi kukutana nacho makaburini usiku. Sitosahau

Tumetoka jisomea kama saa 5 usiku hivi, tukawa tunapita maeneo ya makaburi. Tulikuw wa nne, na kulikuwa na mbalamwez usiku. Cha ajabu nikuw tupo wanne ila vinvuli vipo vitano, nikawaambia wenzangu kinvuli cha tano cha nan? Wote tukahamaki !! Tukasema isiwe kesi tunyooshe mkono juu afu tuone kama kivuli cha ni nan? Hee si kimvuli cha 5 kikanyoosha.

Tukasema bhas kilammoja aanze tembea wengine tusimame wakwanza akaenda mbele na kimvuli chake kikamfuata, wapili, na hata watatu. Wa mwisho mim ile niende mbele si nikaona nna fuata na vimvuli viwili na sio vile viwili kwamba kuna mianga mbalimbali hapana. Cha kushangaza baadae kimvuli kikaaanza kuwa kirefuu oya nasema oyaa hizo nduki tulikimbia sio nchii hii ya kufungwa na morocco [emoji4]. Kama bolt hussein tuu tulikimbia sana
 
Umeitaja hiyo Loha umenikumbusha mbali sana. 1993 (std 2) 1994 (std 3) 1995 (std 4)

Mambo ya Amrish Puri na Mithun Chakraboth.

Movie yangu pendwa ilikuwaga Tridev (Oye Oye) Dance Dance, Disco Dancer, Vishwatmar, Andha Kanoon

Nolstagia is real
duuh watu ni wakongwe sana humu inabdi tuwe tunawaamkia aisee
heshima yako🀣
 
Nje ya mada.
Naomba kuuliza. Hivi wale wanaoimba live band, wanavaaga vitu fulan kama earphones masikioni... nini vitu gani vile?? Au ni ear phones??
 
utoke shule, ukacheze mpira, uende muvi, kisha karate
uongo wa hali ya juu
kwanza kutoka mikumi hadi manzese siyo mchezo ,ni mbali kinoma
 
Haya mambo hatari sanaπŸ˜‚
 
Kaka hao masizimwe ni vibwengo, majini, mizuka au misukule?
Maana mpaka leo sijajua wale walikuwa ni viumbe gani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
🀣🀣🀣We Toka lini mbuzi Kavita kafegi ulitaka kuuvaaa mtumbwi wa vibwengo Mshukuru Mungu kujupa akili yakupita njia yako maana ndio ulikua unaondoka hivo iliwainikuta. Iyo miaka ile tunasoma nawai namba shule mwali mwenyew mwananzo mwisho fimbo haambiwi kumbe nimeamka saa tisa nasema saa kumi na mbili nilikutana na jitu ilo mitaa ya shule mzee chini linakwato za ng'ombe aseee nikicheki juu sioni mwisho ilibidi tukatafute mlinzi wapi yupo kumbe nae alikiona weeee tangu siku ile tulilipoti kwa mkuu washule ikatangazwa sikuwai kuwaishule tn ilibidi nikubaliane na viboko🀣
 
Huyo mbuzi mwenye ako na fegi kwa bedroom ya dead body nadhani was young lunya smoking weed
 
Popobawa ni proof nyingine ya ufinyu wa akili za watanzania.
Hizo ni pranks tu watu walimfanyia akaingia kingi
 
Mauza uza ni mengi tu duniani. Ila kama mtu hajakumbana nayo inakua vigumu kukubali.

Pole kwa kuchapwa tatu. Ndo ukubwa huo πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nje ya mada.
Naomba kuuliza. Hivi wale wanaoimba live band, wanavaaga vitu fulan kama earphones masikioni... nini vitu gani vile?? Au ni ear phones??
Ngoja wajuzi waje watoe jibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…