Hiki ni nini? Naombeni ushauri nachanganyikiwa. Nimekopa Milioni 14 natakiwa kurudisha Milioni 39

Sitakuja KUKOPA.

Nimeishi kwa misingi ya kuogopa Deni tangia mdogo. Sidaiwi na Binadamu yoyote, ujinga wa kukopa ni kurudisha fedha nyingi na stress juu.

Why uishi kwa MASHAKA?

Sitakopa Kamwe.
Ameuliza hiki ni nini?

Ulitakiwa kumpa jibu moja tu

Hiki ni KIFUSI
 
Kwan wakat unaenda kukopa hukusoma vigezo na masharti ya mkopo? Walimu mbona mnapenda kujiaibisha sana? Anyway pole dawa ya deni ni kulipa.
 
Miaka 8 ukae na pesa ya watu ulikuwa unategemea riba utarudisha million 2.
Fikiria kama ungekopa kwa mwaka mmoja tu riba ungewalipa kiasi gani. Ukipata jibu zidisha mara 8
 
Aisee, kama ulishasaini na mzigo ukaingia imeisha hiyo. Unless kama ulisaini kwa kulaghaiwa, which is difficult to prove even on the balance of probability.

Kimsingi, hapa unazuiwa kurudi nyuma na kusitisha mkataba ambao tayari ni operative kwa kitu tunaita "doctrine of estoppel". You are estopped from rescinding the contract.

Ila sisi binadamu ni viumbe vya ajabu sana. Kwetu wanasheria huwa tunawashauri wateja wetu kwamba kabla ya kusaini mkataba wowote ule, achilia mbali wa mkopo, wajitahidi watuone kwanza.

Ingawa wengi hawatuoni kabisa ila wapo ambao wanatuona, tunawashauri wasisaini, wanatupuuza wanasaini kimyakimya. Ina maana hapa wanaiamini benki badala yetu.

Mambo yakibuma wanarudi tena kwetu kwa aibu, this time around wanatuamini sisi badala ya benki [emoji28].
 
Walimu ni vilaza sana Yani yanawazaga Hela tu kusoma maelezo hayana mda,, Yani kwa Upumbavu wako ukae na Hela ya Taasisi miaka 8 kweli harafu utegemee riba iwe ndogo?? Hivi kozi ya ualimu chuoni huwa wanawafundisha nn? Mbona vilaza sana nyie
 
Kiongozi nipe chimbo la mabenki ya dola ya kiislamu nasikia huwa hawana riba ...kama kuna vigezo n masharti nitonye, haya mabenk ya wakristo ni nyonya damu kabisaa, tena yana undugu na mazombie.
 
Pole sana
 
Ili kufidia hiyo tofauti, unatakiwa ubuni biashara itakayokuwa inakupa faida angalau 9000 kwa siku, kwa siku zote mpaka pale deni litakapoisha.
 
Kiongozi nipe chimbo la mabenki ya dola ya kiislamu nasikia huwa hawana riba ...kama kuna vigezo n masharti nitonye, haya mabenk ya wakristo ni nyonya damu kabisaa, tena yana undugu na mazombie.
Mkuu Bank karibia zote zinatoza riba ukichukua mikopo kwao ila kuna bank kama Amana ungewajaribu
Mimi sipo Bongo na sichukui mkopo hata iweje bali nina akiba zangu na nikihitaji natumia au naingia Upatu kwa hela za haraka
Kiongozi nipe chimbo la mabenki ya dola ya kiislamu nasikia huwa hawana riba ...kama kuna vigezo n masharti nitonye, haya mabenk ya wakristo ni nyonya damu kabisaa, tena yana undugu na mazombie.
 
Duh, pole. Kuna bank kwa makato hayo wangekupa mil. 20+
Kama ni hivi vitaasisi uchwara, Mkuu umeshaliwa.
Labda uwaroge tu, maana ni washenzi sana.
 
Chakufanya ni kulipa mkuu,lipa deni lako bila shuruti ili uishi kwa Amani,Pia ujenge Uaminifu ili uweze kukopeshwa tena mara tu baada yakumaliza kulipa deni lako la awali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…