HILA SISI!; Sitii Neno Katika Hii, Hebu Soma Kwanza!.

HILA SISI!; Sitii Neno Katika Hii, Hebu Soma Kwanza!.

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Screenshot 2025-02-09 231316.png

Alafu sema hitimisho lako linakuwaje katika mchezo huo ili huyu mama aendelee kuwa nawe?.
 
Ndugu yangu ntafsirieeee Mimi nilikimbia umandeee!

Kwani hayo maelezo ya kingleza yanasemaje ... Usikute ni Tangazo la mama Samia amesema tutumie account number za kupokea hela nikapitwa avaae! Thelaaaa
😂😂🏃🏿
 
Mkuu wewe ni ndugu mwema sanaaaa! Huu undugu wetu udumu sanaaa. Huna mdogo wako wa kike nioe 🤣

Ili huu undugu usifeeee!

Aiseeee hili nalo limenilizaaaa
😂😂😂Hayupo kwa herufi kubwa, sema eb nkupe binamu😂🚮
 
Kuna amri inasema, 'usimjaribu bwana Mungu wako'
Nami narudia kusema, usimjaribu mtu unayempenda ambaye vyovyote vile, hauko tayari kumuacha.​
Mbona wewe ulitujaribu kuwa Kuna kazi ya kupata bleki fastiii na lanchii mkuu?

Nimechukua huu ushauri kwa mikono minne, miwili yangu na miwili ya mtarijiwa wangu huko huko alipo nimechukulia
 
Back
Top Bottom