HILA SISI!; Sitii Neno Katika Hii, Hebu Soma Kwanza!.

HILA SISI!; Sitii Neno Katika Hii, Hebu Soma Kwanza!.

Wew ndyo umeanzisha tatizo
Kama umesoma na kuelewa ni kwamba mkeo hajafaham kuwa mumewe ndiye huyo jamaa uoande wa pili so,

Ili kulimaliza hilo na aijue ni wewe (kuomoa Ndoa) unalimalizaje?
 
Kama umesoma na kuelewa ni kwamba mkeo hajafaham kuwa mumewe ndiye huyo jamaa uoande wa pili so,

Ili kulimaliza hilo na aijue ni wewe (kuomoa Ndoa) unalimalizaje?
Nmeelew vizur tuuh ila tatzo linarud kwako bado kwann humtongoze mkeo,kwann humpe majaribu ambayo humpa tamaa

Iko ivi mwanamke unaweza kuishinae lakn in saikojikal ana kitu kinaitwa love language unaelewa

*Primary love language;hii ni lugha ya mahusiano ambayo mtu hupenda kufanya

Hapa na maanisha kuwa mwanamke uwenda anahitaji mda wa faragha na wew ila kibaba upo bize kufocus na maisha

*Secondary love language;hii ni lugha katka mahusiano ambayo mtu hupenda kufanyiwa kutoka upande wa mwingne Sasa

KAma vile
*Gift
*Words of affirmation
*Touch
*Quality time
*Received
Hupo nika umefanya utafi wa kujua mke wangu anapenda nin sasa chukua hatua ya kuanza kuishi na kujua hivyo

*Unashinda kazin ukirud upo bize kimoja Chali umelala
*Jua hiyo nafas ndyo angekuwa jamaa mwingne ungeshachapiwa acha lawama kuwakat sis wanaume ndiyo chanzo Cha kufanya wake zetu wakikutana na wanaume wanajua ku handle vizur bas mioyo Yao huungiza kitu kipya na huenda hata ndoa isudumu pia
 
Kama umesoma na kuelewa ni kwamba mkeo hajafaham kuwa mumewe ndiye huyo jamaa uoande wa pili so,

Ili kulimaliza hilo na aijue ni wewe (kuomoa Ndoa) unalimalizaje?
MWanamke unaweza sema unamtimizia mahitaj yake kumbe wee unajua kuachan pesa kubwa nyumbn ndyo suluisho lako kumbe yeye huitaji mda na wew zaidi kuliko izo pesa unazomuachia

Kunawakat kunatakiwa kuchunguz lugha gan ambay anaitumia mwenza wangu katka mahusiano
Ili kupunguza mkeo kuwa na michepuko kwasabab kile anachokipenda kufanyiwa wew unakitimiza vyema
Mi Sion kama Kuna tatizo hapo naona kama ni kuanza kuchukua hatua sas ya kujua mkeo pengine anahitaji mda zaid na wew kama kuongea,kumtia out kidogo,kumchekesha,kupanganae mipango ya kimaisha,kumfariji zaid

SAs mwanamke mahitaj hayo then wew unapa pesa unajua ndyo umemaliza majukumu Yako tayar

Ndyomana kibabu vingi vinatafuta wanawake wazuri na kuwa handle Kwa kuwapa pesa wakijua wamemaliza kazi alafu unakuta mzoa takatak anakupigia mkeo unawaza kuwa wanawake ni waajabu sana pamoja na pesa zote lkn bado hatosheki

Nop jibu si pesa tu au tendo la ndoa tuuh

Kikubwa ni lazma ujue Love language ya mweza wako kuanzia primary na secondary ni ipi

Hutakuja kunishaur mi nimekaa pale nakwambia
 
Nmeelew vizur tuuh ila tatzo linarud kwako bado kwann humtongoze mkeo,kwann humpe majaribu ambayo humpa tamaa

Iko ivi mwanamke unaweza kuishinae lakn in saikojikal ana kitu kinaitwa love language unaelewa

*Primary love language;hii ni lugha ya mahusiano ambayo mtu hupenda kufanya

Hapa na maanisha kuwa mwanamke uwenda anahitaji mda wa faragha na wew ila kibaba upo bize kufocus na maisha

*Secondary love language;hii ni lugha katka mahusiano ambayo mtu hupenda kufanyiwa kutoka upande wa mwingne Sasa

KAma vile
*Gift
*Words of affirmation
*Touch
*Quality time
*Received

Hupo nika umefanya utafi wa kujua mke wangu anapenda nin sasa chukua hatua ya kuanza kuishi na kujua hivyo

*Unashinda kazin ukirud upo bize kimoja Chali umelala
*Jua hiyo nafas ndyo angekuwa jamaa mwingne ungeshachapiwa acha lawama kuwakat sis wanaume ndiyo chanzo Cha kufanya wake zetu wakikutana na wanaume wanajua ku handle vizur bas mioyo Yao huungiza kitu kipya na huenda hata ndoa isudumu pia
Ohoo kumbe mwanamke huwa anarizika?.
 
Wake zenu huku kwenye mitandao wanafanya mambo mengine mimi sitaki kuwaambia.
 
Back
Top Bottom