HILA SISI!; Sitii Neno Katika Hii, Hebu Soma Kwanza!.

HILA SISI!; Sitii Neno Katika Hii, Hebu Soma Kwanza!.

Vipi kama mkewe ametambua kwamba anayechat naye ni mumewe hivyo ameamua kuendelea kutaniana naye?

Perhaps it's game of hide and seek 🤗
Kwa maelezo ya huyo jamaa ni kwamba mwanamke hakushtukia mchezo!.
 
Mbona wewe ulitujaribu kuwa Kuna kazi ya kupata bleki fastiii na lanchii mkuu?

Nimechukua huu ushauri kwa mikono minne, miwili yangu na miwili ya mtarijiwa wangu huko huko alipo nimechukulia
Wale wa michoro hawajapatikana mkuu, inawezekana ambao wanalalamika ajira hakuna watakuwa ni wale waliosomea fani za 'definition'
 
Mimi nije ntasidia hata kuchoraaa kwa maneno 😂

Vijana hawana sifa
Unajua sisi huku Afrika, ni waongeaji wazuri sana, tunaweza kujimwambafai mbele za watu, nimesoma sana mimi; lakini ukimuuliza hiyo elimu yako imeweza ata kutengeneza sindano rungu? Ataanza kukupiga blah blah

Kwa ulimwengu wa sasa, elimu ya vitendo ndio kila kitu; zile 'theory' za madarasani zinatakiwa zitengeneze kitu.​
 
Unajua sisi huku Afrika, ni waongeaji wazuri sana, tunaweza kujimwambafai mbele za watu, nimesoma sana mimi; lakini ukimuuliza hiyo elimu yako imeweza ata kutengeneza sindano rungu? Ataanza kukupiga blah blah

Kwa ulimwengu wa sasa, elimu ya vitendo ndio kila kitu; zile 'theory' za madarasani zinatakiwa zitengeneze kitu.​
Ni kweli Mkuu! Sasa tuliosoma kishazii kishirikishi na nomino mbinjukooo, unadhani tutafanya vitendo Gani?
 
Back
Top Bottom