Edo kissy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 2,802
- 7,551
🏃🏿Nimemjibuuuuuuuuu
She's a good gal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🏃🏿Nimemjibuuuuuuuuu
She's a good gal
Sikimbii mkuu, nitag akiwa tayari kuitwa Shem 😂😂Unamkimbia ndugu yakoooo 😂
Wewe hufaiiiii
Inabidi kusogea pale veta angalau kuongeza ujuzi mwingine 😀Ni kweli Mkuu! Sasa tuliosoma kishazii kishirikishi na nomino mbinjukooo, unadhani tutafanya vitendo Gani?
Umefika mbaliii sanaaa ndugu yangu, Mimi jobless na hayo mambo wapi na wapi mkuu?Sikimbii mkuu, nitag akiwa tayari kuitwa Shem 😂😂
Ila umeongea point mkuu! Mfano ujuzi Gani ?Inabidi kusogea pale veta angalau kuongeza ujuzi mwingine 😀
😂Unapunguza Figo, na tumewaachia uziUmefika mbaliii sanaaa ndugu yangu, Mimi jobless na hayo mambo wapi na wapi mkuu?
Nikiombwa afu hamsiniii ntaitoa wapi
Ngoja nikuonyeshe kitu 😂😂Unapunguza Figo, na tumewaachia uzi
Ila umeongea point mkuu! Mfano ujuzi Gani ?
Si Kuna hizi nafasi za masomo ya bure za veta
Ehee🤔Ngoja nikuonyeshe kitu 😂
Kwa umriii huu niliona nao 😂 hapana aiseeeKasome hivi vitu, kama utaweza kusoma vyote vitatu; utaogopeka mjini:-
Mfumo wa injini wa magari Umeme wa magari Bodi za magariUkisoma zote, na ukaiva vizuri kwa vitendo na usiwe mtu wa blah blah; nakuakikishia hutolala njaa na utamiliki biashara kubwa.
Daktari unaye nikuunganishe na boss
Unataka semaji la majobless promax awe na Figo Moja 😂Daktari unaye nikuunganishe na boss
Mdomo ndo ulomuweka kazini vingine nyongeza😂Unataka semaji la majobless promax awe na Figo Moja 😂
Oyaaa Edo Uzi wa watu huu unajua 😂Mdomo ndo ulomuweka kazini gingine nyongeza😂