HILA SISI!; Sitii Neno Katika Hii, Hebu Soma Kwanza!.

HILA SISI!; Sitii Neno Katika Hii, Hebu Soma Kwanza!.

Siku tunakutana lazima atashtuka nitampiga mkwara kwamba huyo kimeo wake nimemuua na asijaribu tena kuchepuka.
 
Ila umeongea point mkuu! Mfano ujuzi Gani ?

Si Kuna hizi nafasi za masomo ya bure za veta
Kasome hivi vitu, kama utaweza kusoma vyote vitatu; utaogopeka mjini:-​
  • Mfumo wa injini wa magari​
  • Umeme wa magari​
  • Bodi za magari​
Ukisoma zote, na ukaiva vizuri kwa vitendo na usiwe mtu wa blah blah; nakuakikishia hutolala njaa na utamiliki biashara kubwa.​
 
Screenshot_20250210-000521~3.png


😂😂😂
 
Kasome hivi vitu, kama utaweza kusoma vyote vitatu; utaogopeka mjini:-​
  • Mfumo wa injini wa magari​
  • Umeme wa magari​
  • Bodi za magari​
Ukisoma zote, na ukaiva vizuri kwa vitendo na usiwe mtu wa blah blah; nakuakikishia hutolala njaa na utamiliki biashara kubwa.​
Kwa umriii huu niliona nao 😂 hapana aiseee
 
Hayo yote unayafanya kwa faida ipi, na baada ya tukio utaendelea nae ama itamuacha
 
Back
Top Bottom