makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,089
- 4,086
๐ Liko wapiiiiJibu hili swali
Ko Mimi makalio mkuu ๐๐๐ ... Makalio ana mikono na miguu mingapi?Kingleza ndiyo nini we makalio!!.. wanyamwezi mna tabu sana
Nime quote ili aone swali mkuu sijalenga kukuuluza wewe.Nimetoa swali alafu nitoe na jibu lake?.
Nime quote ili aone swali mkuu sijalenga kukuuluza wewe.
๐๐๐๐ฟMimi kama msemaji wa CHAMA Cha Majobless Hilo swali ni gumu kwa sababu Bado hatujafika hiyo topic
Mwalimu hajatufundisha Bado ๐
Ur the new guy
Alafu sema hitimisho lako linakuwaje katika mchezo huo ili huyu mama aendelee kuwa nawe?.
Hilo ndo fumanizi Sasa, aendelee tu kumchatisha siku watakayo kutana ndo ampe na talaka kabisa
Alafu sema hitimisho lako linakuwaje katika mchezo huo ili huyu mama aendelee kuwa nawe?.
Mwambie kuchapiwa hakuepukiki ๐คKwa maelezo ya huyo jamaa ni kwamba mwanamke hakushtukia mchezo!.
Wale wa michoro hawajapatikana mkuu, inawezekana ambao wanalalamika ajira hakuna watakuwa ni wale waliosomea fani za 'definition'Mbona wewe ulitujaribu kuwa Kuna kazi ya kupata bleki fastiii na lanchii mkuu?
Nimechukua huu ushauri kwa mikono minne, miwili yangu na miwili ya mtarijiwa wangu huko huko alipo nimechukulia
Mimi nije ntasidia hata kuchoraaa kwa maneno ๐Wale wa michoro hawajapatikana mkuu, inawezekana ambao wanalalamika ajira hakuna watakuwa ni wale waliosomea fani za 'definition'
Unaitwa mkuu kwa yule bidada wa wimbo๐Mimi nije ntasidia hata kuchoraaa kwa maneno ๐
Vijana hawana sifa
Ameniitajeeeeeee? Naskia kuweruikaaaaa? Unaelewa maana yake ๐คฃUnaitwa mkuu kwa yule bidada wa wimbo๐
Mimi nije ntasidia hata kuchoraaa kwa maneno ๐
Vijana hawana sifa
๐๐Kaone mwenyewe.Ameniitajeeeeeee? Naskia kuweruikaaaaa? Unaelewa maana yake ๐คฃ
Ni kweli Mkuu! Sasa tuliosoma kishazii kishirikishi na nomino mbinjukooo, unadhani tutafanya vitendo Gani?Unajua sisi huku Afrika, ni waongeaji wazuri sana, tunaweza kujimwambafai mbele za watu, nimesoma sana mimi; lakini ukimuuliza hiyo elimu yako imeweza ata kutengeneza sindano rungu? Ataanza kukupiga blah blah
Kwa ulimwengu wa sasa, elimu ya vitendo ndio kila kitu; zile 'theory' za madarasani zinatakiwa zitengeneze kitu.