HILA SISI!; Sitii Neno Katika Hii, Hebu Soma Kwanza!.

Siku tunakutana lazima atashtuka nitampiga mkwara kwamba huyo kimeo wake nimemuua na asijaribu tena kuchepuka.
 
Ila umeongea point mkuu! Mfano ujuzi Gani ?

Si Kuna hizi nafasi za masomo ya bure za veta
Kasome hivi vitu, kama utaweza kusoma vyote vitatu; utaogopeka mjini:-​
  • Mfumo wa injini wa magari​
  • Umeme wa magari​
  • Bodi za magari​
Ukisoma zote, na ukaiva vizuri kwa vitendo na usiwe mtu wa blah blah; nakuakikishia hutolala njaa na utamiliki biashara kubwa.​
 
Kwa umriii huu niliona nao πŸ˜‚ hapana aiseee
 
Hayo yote unayafanya kwa faida ipi, na baada ya tukio utaendelea nae ama itamuacha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…