Hilda Newton nakushauri kuwa macho na wasiojulikana

Hilda Newton nakushauri kuwa macho na wasiojulikana

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Dada yangu Hilda, sikufahamu na hata wewe hunifahamu, ila binafsi nakusoma sana Twitter kama mmoja wa makamanda.

Kabla sijaendelea, naomba kwanza nikupongeze kwa post zako na msimamo yako kwani unaonekana kupinga na kuchukia udhalimu unaoendelea hapa nchini, na katika hili la kupinga vitendo hivi, ndipo naungana nawe kwakuwa hata mjmi binafai nachukizwa sana na vitendo /matendo kama uonevu, unyanyasaji, mauaji, utesaji, double standards,usaliti na mengineyo ya aina hiyo ambayo kwa sasa yamekuwa sehemu ya maisha yetu katika Taifa hili.

Hata hivyo, kwakuwa unafahamika kwa maana ya kutotumia ID fake huko Twitter, nakushauri uwe makini katika nyendo zako kwani unagusa watu fulani ambao, kwa hulka zao, wanaweza wasiwe wavumilivi hivyo kuwa makini sana.

Endeleza mapambano ila kuwa macho na watu wasiojulikana.
 
Huyo Hilda ni demu fulani mshamba mshamba hata sura bado anaonekana wa kienyeji. Hakuna wa kuangaika nae japo anapambana kupata attention.

Hajui hata anatafuta nini kwenye siasa wenzake wajanja wanamtumia kufanikiwa kisiasa na kuingiza pesa, ataishia hivyo hivyo kupiga kelele twitter na sura yake nzito.
 
Huyo Hilda ni demu fulani mshamba mshamba hata sura bado anaonekana wa kienyeji. Hakuna wa kuangaika nae japo anapambana kupata attention.

Hajui hata anatafuta nini kwenye siasa wenzake wajanja wanamtumia kufanikiwa kisiasa na kuingiza pesa, ataishia hivyo hivyo kupiga kelele twitter na sura yake nzito.
Mitano tenaaaaaa.
ElmwDDRUcAAeHkP.jpg
 
Fear mongering hii

Akipotezwa si yeye?

Na akipotezwa ni haki bila kupitishwa mahakamani?

Nchi ishageuka gangster state,na wewe upo hapa ku-normalize hii hali

Yaani unaongea as if ni haki yao hao "wapotezaji" kumpoteza huyo dada?

Yaani ume-normalize hii hali kiasi kwamba inaonesha kama Hilda ndio mwenye makosa ajilinde vile..

Ilitakiwa wewe kutoa uzi kuwaonya "wapotezaji" wasimguse kabisa Hilda,ila wewe upo hapa kumuonya hilda ataguswa na ni haki ya "wagusaji" kumgusa Hilda

Wewe yaani upo ku-sympathize na waonevu vile,Hilda yeye ndio ajicheck na sio wale wakamataji wakome kukamata watu!

Hii nchi aisee
 
Huyo Hilda ni demu fulani mshamba mshamba hata sura bado anaonekana wa kienyeji. Hakuna wa kuangaika nae japo anapambana kupata attention.

Hajui hata anatafuta nini kwenye siasa wenzake wajanja wanamtumia kufanikiwa kisiasa na kuingiza pesa, ataishia hivyo hivyo kupiga kelele twitter na sura yake nzito.
Duuuuh...........!
 
Katoto kamoja kafupi, kana rangi ya chocolate halafu kamejaza zile 'lahma' zenye ladha!

Halima Mdee asingewahi 'kubutua kombolela' kutetea wanyonge kina Nusrat basi nahakika 'Kamati kuu' ingemteua kuwa Mbunge wa viti Maalum
 
Huyo Hilda ni demu fulani mshamba mshamba hata sura bado anaonekana wa kienyeji. Hakuna wa kuangaika nae japo anapambana kupata attention.

Hajui hata anatafuta nini kwenye siasa wenzake wajanja wanamtumia kufanikiwa kisiasa na kuingiza pesa, ataishia hivyo hivyo kupiga kelele twitter na sura yake nzito.
KLMK
 
Naona umeamua kumfanyia Matangazo ya biashara I mean, kwa nini haujamuonya huko huko twita?
 
Back
Top Bottom