Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Bado Wana nafasi mkuu, wampe hata udiwani wa viti maalumu kama nafasi zipo.Katoto kamoja kafupi, kana rangi ya chocolate halafu kamejaza zile 'lahma' zenye ladha!
Halima Mdee asingewahi 'kubutua kombolela' kutetea wanyonge kina Nusrat basi nahakika 'Kamati kuu' ingemteua kuwa Mbunge wa viti Maalum
Hao ndio wakuwapa teuzi.