Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Hahaaaa
Mitano tenaaaaaa.View attachment 1640770
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mitano tenaaaaaa.View attachment 1640770
Wewe umepitwa na wakati ... hiyo ni ya zamani .. mwezi Februari, 2020 na wala si siri ni kwa ajili ya kuongezea kipande cha reli ya Morogoro-Makutupora.Haya watu wasiojulikana mambo hayo,utawala unayaficha,
![]()
Tanzania secures US $1.5bn loan for 550km of its SGR project
Tanzania has signed a US $1.5bn 20-year loan agreement with Standard Chartered Bank Tanzania to fund the construction of a 550km stretch of (SGR)constructionreviewonline.com
Huyu kada wa cdmUnadhani hizo trillions atazipata kwa mchakato huo alioutumia? The world is full aware of everything, nadhani njia nzuri angetafuta namna ya kufanya maridhiano na viongozi wakuu wa Chadema na baada ya hapo ndio chama kifanye utaratibu wa kuteua wabunge wa viti maalumu kwa misingi ya katiba na sheriaThreats , Ni wanawake wamepigwa vitisho vya nguvu sana , Jiwe akose tilioni mbili ?
Aaiiseee!Fear mongering hii.
Akipotezwa si yeye?
Na akipotezwa ni haki bila kupitishwa mahakamani?
Nchi ishageuka gangster state na wewe upo hapa ku-normalize hii hali
Yaani unaongea as if ni haki yao hao "wapotezaji" kumpoteza huyo dada?
Yaani ume-normalize hii hali kiasi kwamba inaonesha kama Hilda ndio mwenye makosa ajilinde vile..
Ilitakiwa wewe kutoa uzi kuwaonya "wapotezaji" wasimguse kabisa Hilda,ila wewe upo hapa kumuonya hilda ataguswa na ni haki ya "wagusaji" kumgusa Hilda
Wewe yaani upo ku-sympathize na waonevu vile,Hilda yeye ndio ajicheck na sio wale wakamataji wakome kukamata watu!
Hii nchi aisee
Eeenh, "Wyatt Mathewson", obviously you got mojo! Mwandiko wako ni 'deep', huyo uliyemjibu hataelewa.Yote uliyoongea sio sahihi,and here is why:
---Umeshindwa ku-attack hoja,umeishia kuongelea uzuri wa sura as if yeye ndio alichagua kujiumba vile?As if na wewe upo kwenye upper hand maana ulichagua sura nzuri somwhere?Umegeukia biology ambayo mwanadamu hana maamuzi nayo including wewe binafsi unajitia kujipa mamlaka ya kukosoa biology za watu
---Akiamua kuwasaidia wenzake wafanikiwe kwenye siasa nadhani ni uamuzi wake,sidhani kama wewe upo kwenye position ya ku-critisize uamuzi binafsi wa mtu..Kama wewe hutaki kusaidia mtu,basi ni wewe,yeye kaamua kusaidia,nadhani kila mtu abakie na uamuzi wake yeye binafsi
---Ni ajabu wewe kudhani kuingia kwenye siasa ni kufuata fedha...Kama idea yako kuingia kwenye siasa ni kujijengea pesa nadhani una very dangerous thinking....Kama unataka fedha kwanini usifanye biashara upate fedha nyingi na kwa wingi na kwa halali?....Mtu kuhitaji fedha ni uamuzi wake,huenda yeye hataki kama unavyotaka wewe!
---Yeye mwenyewe ndio anajua anachotaka kwenye siasa...Nadhani ni vizuri ukamuuliza akakupa jibu kwa mdomo wake,nachoona hapa umejigeuza "mtabiri" of which wewe sio prophet!
Basi naweza kukupa 'hint'.Ni mwenyekiti wa Bavicha Temeke