Hilda Newton nakushauri kuwa macho na wasiojulikana

Katoto kamoja kafupi, kana rangi ya chocolate halafu kamejaza zile 'lahma' zenye ladha!

Halima Mdee asingewahi 'kubutua kombolela' kutetea wanyonge kina Nusrat basi nahakika 'Kamati kuu' ingemteua kuwa Mbunge wa viti Maalum
Bado Wana nafasi mkuu, wampe hata udiwani wa viti maalumu kama nafasi zipo.

Hao ndio wakuwapa teuzi.
 
ni mwenyekiti wa Bavicha Temeke
Hiyo nafasi haitoshi mkuu, anatakiwa angalau awe diwani wa viti maalumu (awe kiongozi atakayehudumia wananchi moja kwa moja kupitia uwakilishi wake kwenye baraza la madiwani).
 
utawala huu hauogopi kunywa damu ya mtu, ushauri mzuri kwake - we need you sis.
 
Siku zote hizi nilijua wewe Salary Slip ni cdm in inner circle, kumbe ni kolo tuu humjui hata hilda newton. Anyway, ni kadada flani kifupi fupi kibishi kweli kweli kina amini ktk siasa vobaya mno. Nishalutana nacho mara mbili ila hakitaki kutoa uchi kwa wakubwa then kitabaki ivo ivo kwenye mitandao hata viti maalun hakitapata
 
Hii ni JF mkuu, watu hawajianiki wazi wazi
 
Huyu dada huwa namkubali sana, ana misimamo na hatumbishwi ila jamani hata akina Mdee na covid 19 nao walikua kama hilda, i don't know what went wrong walah[emoji22][emoji22][emoji22]
 
Huyu binti nampenda Sana natamani siku moja nionane naw jamn.
 
Huyu dada huwa namkubali sana, ana misimamo na hatumbishwi ila jamani hata akina Mdee na covid 19 nao walikua kama hilda, i don't know what went wrong walah[emoji22][emoji22][emoji22]
Kuna mtu nilimwambia anipe sababu za akina Halima kusaliti.Alinipa jibu la kitaalam ambalo ni very strange.Aliniambia kwa kifupi kuwa,nanukuu:"Unafikiri maji yakifika shingoni mwanamke anaweza kukimbilia exile kama walivyokimbia akina Godbless Lema?"
 
Kuna mtu nilimwambia anipe sababu za akina Halima kusaliti.Alinipa jibu la kitaalam ambalo ni very strange.Aliniambia kwa kifupi kuwa,nanukuu:"Unafikiri maji yakifika shingoni mwanamke anaweza kukimbilia exile kama walivyokimbia akina Godbless Lema?"
Siada za Tanzania zinakatisha tamaa sana, of all the people sikuwahi kuwaxa Halima atasaliti mapambano
 
Huyu kada wa cdm anakosea pale ambapo anavaa nguo fupi kupitiliza mpaka kufuli unaweza kuliona hiyo ndio sifa yake kubwa mbaya. Lakini kwa misimamo na kauli za kisiasa yuko vizuri
 
Hicho kidada kikamanda chenu kinasumbuliwa na ushamba kimekaa kienyeji sana. Uwezi fananisha na kina Halima kina Bona yani wanasiasa lakini wana nuru ya mjini.

Hicho ki hilda kimekaa kama mgambo wa kijiji.
 
Hicho kidada kikamanda chenu kinasumbuliwa na ushamba kimekaa kienyeji sana. Uwezi fananisha na kina Halima kina Bona yani wanasiasa lakini wana nuru ya mjini.

Hicho ki hilda kimekaa kama mgambo wa kijiji.
Leo Halima Mdee anasifiwa na MATAGA!!! Ama kweli unafiki nao ni kipaji!
 
Sasa wewe unasema yuko Twitter lakini wewe unampa ushauri huku JF!! Hivi wewe una akili timamu kweli??
 
Umenena vyema kaka, ni mtu fulani anayelazimisha kujulikana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…