Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Wadau vipi tuimalize mchezo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hio rekodi ya sekunde kadhaa haiwezi vunjwa. Ngoma ina washindi wawili hii.Wadau vipi tuimalize mchezo?
hio rekodi ya sekunde kadhaa haiwezi vunjwa. Ngoma ina washindi wawili hii.
naona msela umekimbilia ikweta teh teh teh teh teh tehDuh nimepata suluhu game ya kwanza tu[emoji28][emoji28]
ila nimeweka 100View attachment 1439359
Jumuisha na hiiTukiwa tumebakiza masaa pungufu ya 20, mpambano unazidi kuwa mkali hapa, radicals karudi kwa kasi mpya huku akiwa na ari zaidi ya kurudi tena.
Msimamo mpya:
1. radicals: 47 seconds, wa ukae BIN KULIJUA: 47 seconds;
2. wa ukae BIN KULIJUA: 55 seconds; na
3. IFRS: 57 seconds.
Watazamaji na makamisaa wengine mliojaribu kupambana na Dalmax mtakubaliana na mimi kwamba huu mpambano siyo mwepesi.
Na mpaka hapa hawa viumbe wameonyesha ushindani wa hali ya juu sana.
Special mention kwa mtoto wa Profesa Jitu Kali Jitu la Mabao Mr Castr, huyu kajitahidi. Kama ni boxing anaingia kwenye mapambano ya ufunguzi.
Kamisaa mshindi wetu ni IFRS bila shaka... naona ana sekunde 46 hapo juuNoma sana, jamaa mnamnyanyasa sasa hivi.
Baba mbona unahamisha magoli? best score Ni 47 seconds wamefungana wa ukae na Radicals , hiyo 46 umeitoa wapi?Kamisaa mshindi wetu ni IFRS bila shaka... naona ana sekunde 46 hapo juu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamisaa mshindi wetu ni IFRS bila shaka... naona ana sekunde 46 hapo juu
Sent using Jamii Forums mobile app
Asande ndugu kamisaa, rekodi mpya ningeiweka jana ila sikupata access ya muda.
Asande ndugu kamisaa, rekodi mpya ningeiweka jana ila sikupata access ya muda.
Ila naahidi, hadi kesho jioni MTANIAPISHA kuwa mimi ni bingwa wa madanali JF , hata mtaani pia. Wananiita KETE NGUMU
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika, nitatangazwaHahaha, tunaisubiri hiyo.
IFRS anaendelea kujifua, amefika 50 seconds.
Yeyote atakayepata chini ya 47 atatangazwa papo hapo.
Hapa vipi au tuwape muda tena???????????Hahaha, tunaisubiri hiyo.
IFRS anaendelea kujifua, amefika 50 seconds.
Yeyote atakayepata chini ya 47 atatangazwa papo hapo.