Hili jambo linanigharimu sana

Hili jambo linanigharimu sana

Halafu wadada wengi humu wanafiki , wana ID hamsini , badala ya kusupport vitu vya kujenga wana support wanaume mwisho wa siku haileti picha nzuri ni mbaya nakusikitisha
Hiyo ya ID 50 Nakubali nikweli, kuna ID humu ni kubwa zinatrend sana lakini utakuta ni mtu yule yule jaribu kuwatongoza sasa, utakuta anakuuliza maswali yanayofanana na demu mwengine uliomtongoza, sio maswali general ambayo kila mwanamke unayemtongoza atauliza, ni very specific, sasa hata kama una haraka ya kupata mwanaume, unadhani mtu huyo huyo mmoja kukutongoza kwa ID tofauti ndio itakuwa rahisi kwako kumpata? Wewe ukitongozwa kwa mchizi umemuelewa unamkubalia tu sio kuzungushana, mwanaume halisi hapendi kuzungushwa sana kwenye mambo haya
 

Attachments

  • Screenshot_20240205_155010_Chrome.jpg
    Screenshot_20240205_155010_Chrome.jpg
    76.3 KB · Views: 3
Hiyo ya ID 50 Nakubali nikweli, kuna ID humu ni kubwa zinatrend sana lakini utakuta ni mtu yule yule jaribu kuwatongoza sasa, utakuta anakuuliza maswali yanayofanana na demu mwengine uliomtongoza, sio maswali general ambayo kila mwanamke unayemtongoza atauliza, ni very specific, sasa hata kama una haraka ya kupata mwanaume, unadhani mtu huyo huyo mmoja kukutongoza kwa ID tofauti ndio itakuwa rahisi kwako kumpata? Wewe ukitongozwa kwa mchizi umemuelewa unamkubalia tu sio kuzungushana, mwanaume halisi hapendi kuzungushwa sana kwenye mambo haya
Ni kweli
 
Nadhani mtu anajua kuna amri kumi za Mungu. Sasa hii ya amri ya 6 tunaipuuziaga ila ndani ya hii amri Mungu alificha mengi.

Nimekuja kujua tunda la kati kati ni tamu ila madhara yake ndio kutoolewa kwa wakati, kupata shida ya vizazi, kuwa na maroho ya ajabu ajabu ambayo yanaweza kuharibu mambo yako kabisa. Kisa ulifanya mapenzi na watu kadhaa.

Ndio kusalitiwa ndio kubadilisha badilisha wanaume nakutojielewa unatakaje. Kweli ningekuwa nimejitunza walahi I think nisingekuwa single na jikomba ili status ibadilike mtu bikra hajikombi anapata kitu classic.
Mkuu, kikubwa ni bora umelijua kosa ukatubia then ukajitahidi kwenye mema mola wako hatokuacha patupu. Pia washaurini na wadogo zenu wazingatie maadili, na wajue kua kila kitu kitakuja kwa muda wake, wasifosi.
 
Mkuu, kikubwa ni bora umelijua kosa ukatubia then ukajitahidi kwenye mema mola wako hatokuacha patupu. Pia washaurini na wadogo zenu wazingatie maadili, na wajue kua kila kitu kitakuja kwa muda wake, wasifosi.
Tena kizuri
 
Japo uelewi ukija kuwa muelewa utajuta kukigawa sina stress nanani kakuambia huyu uliyenaye hakutumii kwa faida zake .?? Eh mie nakuambia ukweli kama wewe ni ke jua me anakufaidi ndio maana upo naye kama ni me jua ke anakutumia kwa kiasi fulani hujui lolote kuhusu kuivunja hii amri saivi huenda unaona mie chizi ila ipo siku utajua kuwa mie sio chizi
Nakuunga mkono boss me hio hali nshaipitia ila now ni nimeelewa nimeyapa muda kwanza hadi hapo badae
 
Nilikuwa na nia ya kukuoa mimi kama bonge la bwana lakini ninawaswas na dish lako ebu ngoja nijipe muda kuku analyse
I don't need fuckers like you https://jamii.app/JFUserGuide you shit mother fucker shit . Bro i dont care about anyshits in here i care about my self you fucker bitch ass hle do not start me you niggar https://jamii.app/JFUserGuide yourself and all mother fuckers you know including who raise you and give birth to you. Shit naukinijibu tena wewe malaya ambaye hujitambui unadata na id za watu wewe nitafute takataka chafu bwa koko nani anatakaga mataka taka yasio onekana dishi limeyuma labda lamamako mzazi na ukoo wenu mbwa , unanuka kikwapa cha shombo ya samaki kenge wewe ml watu
 
Mwiba1 endelea naujinga wako tu nakupa zauso uso nani kakuambia kunamtu analiwa na miti au mashine au ukuni wakuwashia moto . Nani amebaki takataka wewe nani . Nenda kawale wale wakwenu ulio wa'xpaxx,n€ua shits
 
Back
Top Bottom